Kama uko mbele ina maana ulikuwa submerged under water, sasa majaliwa aliuvunja vipi? Kumbuka kuna pressing force ya maji all over the plane with substantial pressure/force?. Akiufungua tu maji yana rush insid, kumbuka kuna obstacles za viti vilivyong'oka na msongamano wa abiria , commotion kila mmoja ana strugle kutoka majaliwa alifanyaje katika imaginary but most likely to happen situation kama hiyo?
Just for Curiosity
Kama mlango uko nyuma, then one can break it open! and give the opportunity for other processes to proceed
Just for Curiosity
Kama mlango uko nyuma, then one can break it open! and give the opportunity for other processes to proceed