mudy4life Member Joined Jan 30, 2013 Posts 13 Reaction score 0 Feb 2, 2013 #1 Ndugu zangu leo nilikuwa posta nikamuona jamaa kalewa huku akiyumba na kuchezea bastora yake, kisheria mtu huyu anakosa?
Ndugu zangu leo nilikuwa posta nikamuona jamaa kalewa huku akiyumba na kuchezea bastora yake, kisheria mtu huyu anakosa?