Mlevi Mwendokasi

Red Scorpion

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2012
Posts
5,736
Reaction score
4,252
Nyumba ya mlevi mmoja nje kuna shimo kubwa la maji bila mfuniko.
Siku moja karudi usiku kalewa tooooop, mambo yakawa hivi:
*MUME*: Fungua mlango!

*MKE*: Leo sifungui! Nimechoshwa na ulevi wako.
*MUME*: kama hufungui najitupa kwenye hili shimo nife kabisa.
*MKE*. Kufa huna faida yoyote duniani!
*MUME* kachukua jiwe kubwa kalitupa kwenye shimo chubwi!
MKE kajifunga kanga, kafungua mlango. Ghafla mume kaingia ndani na kumfungia mke nje.

*MKE*: Nifungulie la sivyo nitapiga kelele majirani waje.
*MUME*: Piga kelele na wakija uwambie unakotoka wapi usiku huu na khanga moja.
*_Walevi huwa hawataki ujinga sometimes_*?
 
teh teh teh....
Walevi katika ubora wao
hawataki utani usio na maana
haahhhh

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…