Kichuchunge
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 384
- 970
Matokeo ndio kama mlivyoyaona na pira ndio kama mlivyoliona, sasa turudi kwenye mjadala wetu uleee! Yanga ameshinda 2-0 ugenini je amecheza na timu ya Al Maerreikh dhaifu au yeye Yanga ndio ana timu nzuri? Tujadiliane hapa hapa