Kichuchunge
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 384
- 970
Watu wasiokiwa na ligiAmecheza na wakimbizi, watu wasiokuwa na makazi
Mlienda na BASI au COSTA ?Matokeo ndio kama mlivyoyaona na pira ndio kama mlivyoliona, sasa turudi kwenye mjadala wetu uleee! Yanga ameshinda 2-0 ugenini je amecheza na timu ya Al Maerreikh dhaifu au yeye Yanga ndio ana timu nzuri? Tujadiliane hapa hapa
Kwani hiyo unayoita COSTA sio BASI?Mlienda na BASI au COSTA ?
MBUMBUMBU wapumbavu sana.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Rage anatakiwa ajengewe mnara wa kumbukumbu mapema sana. Maana aliwaza mbali kuwaita mbumbumbu. 😃Mlienda na BASI au COSTA ?
MBUMBUMBU wapumbavu sana.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app