Mlikuwa wapi??

Mlikuwa wapi??

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Hongereni wote
 

Attachments

  • WALIKUWA WAPI HAWA.jpg
    WALIKUWA WAPI HAWA.jpg
    59.2 KB · Views: 71
duu kumbe wazee hivi lakini bira wamefunga harusi..
 
hawa watakua wameanzana zamani, mana hapo tabasamu kwamba wanafurahia kuoana silioni.
 
Je wakati wa harusi nao tunawaimbia "Wanameremeta"?????
 
Hahahahahaahhaha tetttetet labda ana mtoto wake anakaribia kupata upadirisho kwa hio ikabidi ashinikizwa kuuepuka usuria haraka
 
duh bora lakini wamebariki, Mungu awaepushie mabalaa waishi pamoja milele
 
Kama ni ndoa wameeamua kufunga si kubariki nadhani ifike mahali tukubali kuwa tumechelewa.... Kwani mkiibariki pasipo kuvaa shela ha kupigiwa tarumbeta haiwi ndoa?
 
duu kumbe wazee hivi lakini bira wamefunga harusi..

bora kuona wazee kuliko kuwa wazinzi yaani nyie mwakan mnaongeza mtoto ..aliepita anajua baba wanazini awajaoana..mwakani tena huyo aliezaliwa anajua baba wanazinzi sio nzuri mbayaaaaaaaaaaa pamoja na age lakini wanaenda mbinguni je we we mzinzi utaacha lini???
 
ndoa kama hizo,ndio zinazodumu

umeeoooonaaaa eeeh kwa hiyo tukae bila kuaoana jamani tukutane uzeeni tuondoke kwa amani kuliko kuishi na pressure ndan za nyumba mmh first lady kunakalika mwaya
 
hawa je unawapa siku ngapi??kupeana micharuko
DSCN4085.JPG
 
bora kuona wazee kuliko kuwa wazinzi yaani nyie mwakan mnaongeza mtoto ..aliepita anajua baba wanazini awajaoana..mwakani tena huyo aliezaliwa anajua baba wanazinzi sio nzuri mbayaaaaaaaaaaa pamoja na age lakini wanaenda mbinguni je we we mzinzi utaacha lini???
<br />
<br />
kwani unafikiri wao walikuwa hawazini?
Tena nina wasiwasi hawa wamefunga baada ya kula nyama za bucha zote. Mwisho wa siku wakagundua nyama ni zilezile, ndo maana wameamua kurudi bucha ya jirani.
 
LAITI HIZI PICHA MKAZIWEKA NA KUZIJAZA VYUMBANI MWENU SEBULENI WALAHI NGUMI SIJUI ZINGEKUWEPO KILA UKITAKA KUMPIGA UNAMWONA WENZIO MOVENPICK KAMA HIVI YAKO UTAPIGIA WAPI
NJOO KUNA KUTETERE BEACH HUKU KAWE KUINGIA BURE KUTOKA NA PESA
DSCN4085.JPG
 
Kwa mnofikiria kuoana jihadhari kwa kujaza gari mafuta wiki hii kwa vidumu yasikukute hya ya wenzangu kama wanasubiri matokeo pale udsm imenikumbusha mbali kweli hiii folen kweli ngeleja hana adabu kweli chonde chonde usimsimamishe bibiharusi kwenye hii folen ama ukagairi kisa akuna mafuta ndoa utafunga in jesus name ukaachike ukiwamkwako na sio sababau ya tajiri wetu engen anaetugaia mafuta
_19.jpg
 
Back
Top Bottom