Mlima Kilimanjaro 2013/2014

Mlima Kilimanjaro 2013/2014

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
8,273
Reaction score
13,567
Habari wadau JF, Tunakaribisha kujiandikisha kwa watu wote wenye nia ya kupanda mlima Kilimanjaro kwa mwaka 2013 na mwaka 2014,tunafanya maandalizi yote muhimu pamoja na kuwa na viongozi wazoefu (experienced mountain guide) watakaohakikisha kufika KILELE CHA MLIMA 5895 MTS.Gharama ni nafuu sana.kujiandikisha kupitia infotanzaniaa@gmail.com au tembelea www.infotanzania4u.blogspot.com
 
Mkuu weka details zote hapa, itinerary na gharama utaeleweka zaidi na haraka. Wengine hawana mda wa kuingia huko kwenye web.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mkuu weka details zote hapa, itinerary na gharama utaeleweka zaidi na haraka. Wengine hawana mda wa kuingia huko kwenye web.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
DAY 01:Arrive to Moshi, and overnight.DAY 02:After breakfast drive to Marangu gate to start trekking,dinner and overnight at Mandara hut.DAY 03:Continue trekking up to Horombo,for dinner and overnight.DAY 04:Continue to trekking to Kibo, for dinner and overnight.Mid night start to trekking to Uhuru peak,after reach start back to get back.DAY 05😀escent to Horombo for dinner and overnight.DAY 06😀escent to Marangu gate via Mandara hut.Price 250,000/=Tsh include park,hut fees,all meals,porters,mountain guides,climbing equipment,transport from Moshi to Marangu gate round trip. Do not miss this life time adventure experience. Register now via infotanzaniaa@gmail.com
 
DAY 01:Arrive to Moshi, and overnight.DAY 02:After breakfast drive to Marangu gate to start trekking,dinner and overnight at Mandara hut.DAY 03:Continue trekking up to Horombo,for dinner and overnight.DAY 04:Continue to trekking to Kibo, for dinner and overnight.Mid night start to trekking to Uhuru peak,after reach start back to get back.DAY 05😀escent to Horombo for dinner and overnight.DAY 06😀escent to Marangu gate via Mandara hut.Price 250,000/=Tsh include park,hut fees,all meals,porters,mountain guides,climbing equipment,transport from Moshi to Marangu gate round trip. Do not miss this life time adventure experience. Register now via infotanzaniaa@gmail.com

please confirm hiyo email kama ndo yenyewe au ina extra 'a' kimakosa.
 
DAY 01:Arrive to Moshi, and overnight.DAY 02:After breakfast drive to Marangu gate to start trekking,dinner and overnight at Mandara hut.DAY 03:Continue trekking up to Horombo,for dinner and overnight.DAY 04:Continue to trekking to Kibo, for dinner and overnight.Mid night start to trekking to Uhuru peak,after reach start back to get back.DAY 05😀escent to Horombo for dinner and overnight.DAY 06😀escent to Marangu gate via Mandara hut.Price 250,000/=Tsh include park,hut fees,all meals,porters,mountain guides,climbing equipment,transport from Moshi to Marangu gate round trip. Do not miss this life time adventure experience. Register now via infotanzaniaa@gmail.com

Valuable info. Thanks sana mkuu
 
Mkuu, asante kwa ratiba na bei. Msaada kidogo hapo: nitarajie gharama gani nyinginezo mbali na hiyo bei uliyoweka? Kwa ushauri wako, vitu gani binafsi ninatakiwa kuwa navyo? Kwa mtu kama mimi ninayetaka kupanda kwa mara ya kwanza unashauri maandalizi yepi ya mwili? Ni miezi ipi muafaka kwa ipandaji rahisi? Unapokea "booking" ya muda gani kabla ya mtu kupanda?
 
Mkuu, asante kwa ratiba na bei. Msaada kidogo hapo: nitarajie gharama gani nyinginezo mbali na hiyo bei uliyoweka? Kwa ushauri wako, vitu gani binafsi ninatakiwa kuwa navyo? Kwa mtu kama mimi ninayetaka kupanda kwa mara ya kwanza unashauri maandalizi yepi ya mwili? Ni miezi ipi muafaka kwa ipandaji rahisi? Unapokea "booking" ya muda gani kabla ya mtu kupanda?
Gharama nyingine ni nauli toka hapo ulipo hadi Moshi,malazi kabla na baada ya kupanda mlima(2 nights) nguo za kujikinga na baridi kama sweta,skafu,soksi nk.Kufanya mazoezi ya mwili kama kukimbia hata kutembea pia ili uwe na pumzi ya kutosha,kuanzia Sept hadi May ni miezi mizuri kupanda mlima kutokana na kupungua kwa baridi,japokuwa kunakuwa na mvua hasa miezi ya Jan to May.Booking inategemea na wewe unapenda kupanda lini,tuna bookings nyingi toka ndani na nje ya nchi,so ww ukisema tarehe tunaangalia na availability departure on that date then will advice or confirm your booking.Aasante kwa wote mnaoendelea kufanya booking inaonesha ni jinsi gani watz tumeamka na kuthamini utalii wetu na kukuza uchumi wetu..!
 
Asante kwa maelezo Mkuu. Nitarejea na booking yangu. Ninalenga hasa kipindi cha Krismas ya mwaka huu MUNGU akiendelea kujalia uzima. Thanks!
 
Back
Top Bottom