Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Habari za sikukuu ya Pasaka?
Napenda kuutanganizia umma kuwa kutakuwa tukio la kupanda mlima Kilimanjaro 5895 MT, tarehe 9 mwezi wa SITA mwaka 2014 kupitia njia ya Marangu kwa siku 6.
Wanakaribishwa watu wote wenye mapenzi ya kuona vivutio mbalimbali tulivyojaliwa na Mungu hapa Tz,safari hii ya kupanda mlima itahusisha watu kutoka mataifa mbalimbali kama Urusi nk
Gharama ni laki tatu na hamsini tu ikijumlisha kiingilio,chakula,sehemu ya kulala,mpagazi na watakaofika kilele cha mlima watapewa CHETI cha ushindi.
Gharama haziushishi kulala Moshi kabla na baada ya kupanda mlima,vifaa vya kupandia mlima kama viatu,sticks nk(unaweza kukodi vifaa vyote kwa elfu sabini tu.
Wahi mapema kuna nafasi chache zimebaki,mwisho wa kujiandikisha ni 15 Mei 2014.
Mawasiliano: 0787140432 au tours@infotanzania.net
Usiwe na magonjwa kama Kisukari,TB,Pumu (Uwe na afya njema)
"KUWA MZALENDO TANGAZA UPENDO"
Napenda kuutanganizia umma kuwa kutakuwa tukio la kupanda mlima Kilimanjaro 5895 MT, tarehe 9 mwezi wa SITA mwaka 2014 kupitia njia ya Marangu kwa siku 6.
Wanakaribishwa watu wote wenye mapenzi ya kuona vivutio mbalimbali tulivyojaliwa na Mungu hapa Tz,safari hii ya kupanda mlima itahusisha watu kutoka mataifa mbalimbali kama Urusi nk
Gharama ni laki tatu na hamsini tu ikijumlisha kiingilio,chakula,sehemu ya kulala,mpagazi na watakaofika kilele cha mlima watapewa CHETI cha ushindi.
Gharama haziushishi kulala Moshi kabla na baada ya kupanda mlima,vifaa vya kupandia mlima kama viatu,sticks nk(unaweza kukodi vifaa vyote kwa elfu sabini tu.
Wahi mapema kuna nafasi chache zimebaki,mwisho wa kujiandikisha ni 15 Mei 2014.
Mawasiliano: 0787140432 au tours@infotanzania.net
Usiwe na magonjwa kama Kisukari,TB,Pumu (Uwe na afya njema)
"KUWA MZALENDO TANGAZA UPENDO"