Mlimani City-badoooo....

Mlimani City-badoooo....

mama dunia

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2011
Posts
420
Reaction score
84
Yaani nilifikiri wizi umedhibitiwa pale mlimani city kumbe bado bwana, yaani jana majira ya saa saba mchana nipo zanguu pale karibu kabisa na nilipopack kuna vijamaa viwili si vilikuwa vinaiba/yaani vishatoa site mirrors sijui nafikiri ndo walikuwa ktk process za kutoa na power window, sasa mmoja wao si akachoropoka gafla akabakia mmoja, amepewaje kipondo, yaani domo lilivimba, damu nk...tena jamaa mwenyewe ukiambiwa ni mjikibaka huwezi amini, jamaa mashallah handsome, kajazia jazia kidogo, mtanashati etc, yaani Dar ni zaidi ya ujuavyo , unaweza fikiri jamaa ana kazi zake kumbe mwizi, so kuweni makini pale. Jamaa wa gari iliyokuwa inakwapuliwa vitu alimind kichizi yaani X-trail mpyaaa ikawa ndo hivyo tena......
 
mi nikikamata namtumbukiza office pins kama tano hivi tumboni, nazizamisha kabisaa.......akahangaike nazo kama mimi nitakapkuwa nahangaika kutafuta site mirror zangu.
 
Tanzania tunatia aibu,nchi za wenzetu unapack gari unaenda kufanya shughuli zako kwa amani,yaani mlimani city ukienda na gari huna raha.
 
huwa naacha ka gx 100 changu nyumbani nachukua tax nikienda kucheki movies pale sababu ni ugonjwa wa moyo tu..au bora upate parking mbele ya samaki samaki umpe hela bouncer akuchekie la sivyo.......
 
mi nikikamata namtumbukiza office pins kama tano hivi tumboni, nazizamisha kabisaa.......akahangaike nazo kama mimi nitakapkuwa nahangaika kutafuta site mirror zangu.

utapitisha kupitia mlango gani? wa juu au wa chini? am just kyuriaz...
 
Hivi wale walinzi wanaokaa juu ya vibanda wanafanya nini? Inbidi siku moja wageuziwe kibao wapate mkong'oto wao ndipo watakapojua uchungu wa mali za watu.
 
utapitisha kupitia mlango gani? wa juu au wa chini? am just kyuriaz...
hahahahaa.....
office pins unazikata vichwa, unamdinga kama sindano tumboni, inaingia na kuishia ndani....atasema nazo baadae..hapo hakuna ushahidi.

au unachukua spoku ya wheel chair.....unainoa mbele.....unaitumbukiza kushoto kwa tumbo inatokea kulia, unaichomoa unaondoka zako......hakuna alama inayobaki....

DONT TELL NO BODY!
 
hahahahaa.....
office pins unazikata vichwa, unamdinga kama sindano tumboni, inaingia na kuishia ndani....atasema nazo baadae..hapo hakuna ushahidi.

au unachukua spoku ya wheel chair.....unainoa mbele.....unaitumbukiza kushoto kwa tumbo inatokea kulia, unaichomoa unaondoka zako......hakuna alama inayobaki....

DONT TELL NO BODY!

mmmh hadi nimetetemeka hasa hiyo ya "chipoko"
 
mnajitapa na magari wenye zile corolla na furukobe tujinyamazie tu lol wengine hamna hata boda boda kwikwiwkwiwkwiw
 
Kwa hiyo ukienda m-city unakua na ofisi pini kabisa sio? Noted...nanunua kipakiti kimoja....

mi nikikamata namtumbukiza office pins kama tano hivi tumboni, nazizamisha kabisaa.......akahangaike nazo kama mimi nitakapkuwa nahangaika kutafuta site mirror zangu.
 
Hivi wale walinzi wanaokaa juu ya vibanda wanafanya nini? Inbidi siku moja wageuziwe kibao wapate mkong'oto wao ndipo watakapojua uchungu wa mali za watu.

Huwa nikiwangalia nacheka. Kama muvi za akina maiko dudukofu enzi zile....tehe
 
hahahahaa.....
office pins unazikata vichwa, unamdinga kama sindano tumboni, inaingia na kuishia ndani....atasema nazo baadae..hapo hakuna ushahidi.

au unachukua spoku ya wheel chair.....unainoa mbele.....unaitumbukiza kushoto kwa tumbo inatokea kulia, unaichomoa unaondoka zako......hakuna alama inayobaki....

DONT TELL NO BODY!

Safi kabisa. Uwe na lesso ya kfuta damu inayobubujika na uvae gloves asije akakuambukiza ukimwi
 
Hivi wale walinzi wanaokaa juu ya vibanda wanafanya nini? Inbidi siku moja wageuziwe kibao wapate mkong'oto wao ndipo watakapojua uchungu wa mali za watu.

Kazi yao kuangalia gari iliyopaki vibaya wakufunge mnyororo.

Kuna siku nilipaki kule chini ya mti nyuma karibu na Pharmacy, nilienda Pharmacy pale LUKU, jamaa walinzi wameanza kuzunguka gari wanafurahia kabisa kwamba hela imejileta wakaja wamejaa hawajui mamsap yupo ndani ya gari anawasikia. Wakanifuata kule ndani kuuliza mwenye gari,Nikawaambia "Ebo nyie mnaona ndani ya gari kuna mtoto mchanga halafu mnataka nipaki gari juani!" wakazodoka wakasepa.
 
Back
Top Bottom