Mim nilienda jana pale,,na watu kibao walikuwepo,,,majibu yao ni kwamba kama ujaridhika,,nenda kwa mkuu wa nchi,,,wao wamemaliza kazi yao,,,,,,wanamajibu ya kunyaaaaaaaaaaaaaaaa,,,,,sijawai kuona,,,sijui wanajiamini nin?na nan anawapa jeuli zote hizo?mim na wewe atujui,,ndio Tanzania,,,sasa naanza kukumbuka bora enzi za mzee mkapa wafanyakazi wa idara mbalimbali za serikali pamoja na matatizo umakini ulikuwepo,,,na uduma zilikuwa zinaenda vizuri,,,for the time being,,he has led a nation from worse to worst,,,,,who? i don't know,,,,,find solution