Mlio Kanda ya ziwa

Makunga

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2011
Posts
771
Reaction score
551
habari zenu jamani, habari za siku nyingi. Baada ya kupotea kwa muda mrefu kutokana na mambo flani flani sasa nimekuja tena.
Najitokeza kutafuta marafiki wa kuchil nao na kubadilishana mawazo, hasa walio kanda ya ziwa yaan mikoa ya mwanza,shy au Musoma. Nahitaji kampani tu jamani maana huku nilipo ni mgeni na sina kampani.
kwa watakaopenda,karibuni PM.
 
Jina lenyewe tu linaonyesha uenyeji wako ni 100%[emoji14] [emoji14] [emoji14]

Napita tuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…