atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Acheni masihara bhana,kwenye hio list ya jamaa heri umtaje Katarina,tatizo lenu wadada mna mahaba na IdrissYani hapo kidogo idriss
Kweli hawa jamaa sio wakawaida kabisaRingo na Tin white ndo komedian Tanzania.
Ila wakali wa vichekesho bongo kuna joti,majuto,braza K,Senga,pembe,bambo,mtanga,Kingwendu.....mpoki kwa mbaaliii na wakuvanga.
Kuna kuchekesha na kuact utaahira..
Sasa wasanii wengi wa bongo wana act utaahira tu. Alaf sio wabunifu, hawana vitu vipya
Umensahau mbotoIla wakali wa vichekesho bongo kuna joti,majuto,braza K,Senga,pembe,bambo,mtanga,Kingwendu.....mpoki kwa mbaaliii na wakuvanga.
Naunga mkono hojaRingo na Tin white ndo komedian Tanzania.
Kabisa mkuu jamaa namkubali sana yuko vizuriYani umepita mule mule
Kuna wenye hizi fani
Mfano mboto ukimuangalia tyu unacheka mwenyewe
Acha masihara wew.....unamfaham b dozen kweli wew??Kuna mtangazaji mmoja wa Clouds anaitwa sijui nani, B Dozenakama sijakosea. Huyu hana kitu kabisa.
Mi mwenyew yule dgo yuko vzur.....kuna clip anazigongesha views mpka laki na nusu huyu dgo aisee....Sijui ni Mimi au lakini I find dullivan has perfectly used IG for short film/ clip comed naamini ktk platform nyingine anaqeza kushindwa lakini hapo ktk IG naona kapatia plus yuko ktk Umri sahihi wa kukosea na kujifunza vitu vingi ktk kazi aliyoichagua. kuhusu hao wengine naona wakawaida sana .
uyu ndo katika wachekeshaji ambao hawanichekeshi ni huyuList iko sawa ila muondoe huyo Kiziwi Blackpass mi naona anajua
Acha ungese, mbona unawashwawashwa?cku hz hakuna vichekesho ila nitoke nje ya box kdg hv joh makini huwa anaimba nini yan? yan cjawah kumwelewa yule jamaa cha kushangaza eti arusha wanamkubali, apo ndo naamini kule bangi inalimwa kwa wingi, alie karibu nae aje nimpe shamba akalime tu