Mlio karibu na hawa wasanii waambieni fani ya uchekeshaji hawaiwezi

Braza K nifuniko lao kwa sasa Bongo,basi tu hajui kujipromote.alikuwepo na mwingine mchombe wa kulichombe alipopotelea anajua mwenyewe.Kiufupi wachekeshaji wazuri hawajitambui ila wabahatishaji wanajua kujipromote
Kweli binadamu tumetofautiana, binafsi Braza K namchukulia kama mshamba Fulani wa Kigoma, hanichekeshi kiukweli
 
sasa ungekuaj na list ya wachekeshaji wako wenye vipaji. kama huna list manake huna jipya
 
All in All nihitimishe tu kwa kusema kibongobongo haijawahi kutokea wachekeshaji wa kuwazidi 1. KING MAJUTO 2. JOTI, plz Moderator funga thread[emoji13]
 
kwahiyo wanaochekeshwa na hawa wachekeshaji watakuwa ni WEHU?
Mwananchi ukitaka kujijua wewe ni mgonjwa/Mwehu watizame hawa ukicheka tu basi we ni mgonjwa/mwehu
 
Idriss mtampingaaaaa ila hamtamuwezaaaa anazidi kwenda mbalii na sie tunao mueleawa huwa hatutaki kucheka sana kama wehu.
nadhani nyie ma ke ndo mnamuelewaga huyu jamaa na mamboga saba
 
Kwa stand up comedy namuona dogo pepe anakuja vizuri.
 
Jamani mimi mzee king majuto hajawahi kunichekesha namchukulia kama muigizaji anajua nampenda naheshimu kazi yake kwenye swala la kunichekesha sijawahi kuchekeshwa ukweli ndio huo wengi mtanipinga
 
Jamani mimi mzee king majuto hajawahi kunichekesha namchukulia kama muigizaji anajua nampenda naheshimu kazi yake kwenye swala la kunichekesha sijawahi kuchekeshwa ukweli ndio huo wengi mtanipinga
Kama hajawahi kukuchekesha hilo ni tatizo lako binafsi, wahi kwa bashite akakucheki tezi dume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…