Mahunguchila
Member
- Jun 11, 2012
- 74
- 34
Habari zenu wana jamii,
Leo nina ushauri kwa wale walioko kwenye ndoa, na nimeona niwape ushauri huu kufuatia yalompata dada yangu.
Dada yangu aliolewa miaka ya 1990 na baba mmoja ambae by that time alikuwa mfanyakazi ktk shirika moja la uma. Alifukuzwa kazi, na sifahamu sababu ya yeye kufukuzwa kazi miaka ya 2000. Toka hapo sister kwa upendo aliishi na shemeji na hakuwahi kumsimanga kwa kutokuwa na kazi na mahitaji yake yote yalitimizwa na sister.
Sister alikuwa mfanyakazi wa benk na kwa kweli kifedha alijiweza. Alimwamini sana mumewe na maisha yao yalikuwa ya upendo na amani. they had 4 kids. Wakati dada akimwamini sana mumuwe, kumbe mumewe alikuwa akifahamika mtaani kwa jina la POPOBAWA! Alikuwa MALAYA wa kupindukia! All those days ni kama sister alikuwa kafungwa akili kwani hata siku moja hakuwahi dhani kuwa the famous popobawa pale mtaani alikuwa ni mumewe. Alikuja kupoteza imani na mumuwe baada ya kumkuta usiku akufanya ngono na house girl wao jikoni.
Hofu ya kupata maambukizi ya Ukimwi ilitawala maisha yake, na hakuchukua muda aliugua na kufariki kwa VVU.
USHAURI: Kuna slogan moja ya wanajeshi, inasema TRUST NOTHING SUSPECT EVERYTHING! Pamoja na kuwa mnaaminiana sana na waume/wake zenu lakini jaribuni kuwa makini sana katika huu uaminifu kwani wanandoa wengi wamekuwa wakitumia neno kuaminiana vibaya! Mume hataki mke aguse simu yake, na ikitokea hivyo basi atalalamika mke wangu huniamini na wakati huo huo ana vimada zaidi ya kumi na anataka aaminike kwa mkewe.
Ni mtazamo wangu tu Mahunguchila.
Leo nina ushauri kwa wale walioko kwenye ndoa, na nimeona niwape ushauri huu kufuatia yalompata dada yangu.
Dada yangu aliolewa miaka ya 1990 na baba mmoja ambae by that time alikuwa mfanyakazi ktk shirika moja la uma. Alifukuzwa kazi, na sifahamu sababu ya yeye kufukuzwa kazi miaka ya 2000. Toka hapo sister kwa upendo aliishi na shemeji na hakuwahi kumsimanga kwa kutokuwa na kazi na mahitaji yake yote yalitimizwa na sister.
Sister alikuwa mfanyakazi wa benk na kwa kweli kifedha alijiweza. Alimwamini sana mumewe na maisha yao yalikuwa ya upendo na amani. they had 4 kids. Wakati dada akimwamini sana mumuwe, kumbe mumewe alikuwa akifahamika mtaani kwa jina la POPOBAWA! Alikuwa MALAYA wa kupindukia! All those days ni kama sister alikuwa kafungwa akili kwani hata siku moja hakuwahi dhani kuwa the famous popobawa pale mtaani alikuwa ni mumewe. Alikuja kupoteza imani na mumuwe baada ya kumkuta usiku akufanya ngono na house girl wao jikoni.
Hofu ya kupata maambukizi ya Ukimwi ilitawala maisha yake, na hakuchukua muda aliugua na kufariki kwa VVU.
USHAURI: Kuna slogan moja ya wanajeshi, inasema TRUST NOTHING SUSPECT EVERYTHING! Pamoja na kuwa mnaaminiana sana na waume/wake zenu lakini jaribuni kuwa makini sana katika huu uaminifu kwani wanandoa wengi wamekuwa wakitumia neno kuaminiana vibaya! Mume hataki mke aguse simu yake, na ikitokea hivyo basi atalalamika mke wangu huniamini na wakati huo huo ana vimada zaidi ya kumi na anataka aaminike kwa mkewe.
Ni mtazamo wangu tu Mahunguchila.