Mlio nunua kuku aina ya Kuchi kwa zaidi ya sh. laki moja njooni hapa

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Miaka kadhaa nyuma kuku aina ya Kuchi walipata jina sana. Bei yake ilipanda kweli kweli hadi ikafika tzs. 500'000/- kwa kuku mmoja.
Mlio bahatika kuwanunua hao kuku njooni mtupe feedback, hao kuku wenu Leo wana kilo ngapi?
 
Nilimnunulia demu wangu anaitwa Giresi, atajibu mwenyewe.



Sent from my iPhone using JamiiForums
Unautani wewe [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
hao kuku wanakuwa kama mbuni,
Mkuu usije ukaanza kuchanganya na wale Turkey kuku mzinga! huyo mbuni ushawahi kumuona lakini? isije ikawa imagination ya picha za vitabu na toys. hahhahahahaha
 
Mkuu usije ukaanza kuchanganya na wale Turkey kuku mzinga! huyo mbuni ushawahi kumuona lakini? isije ikawa imagination ya picha za vitabu na toys. hahhahahahaha
Mkuu hata mm kiukweli siwajui hao kuchi.
Mwenye kuwajua atuwekee angalau picha yake tupate kujifunza.
 
Mkuu hata mm kiukweli siwajui hao kuchi.
Mwenye kuwajua atuwekee angalau picha yake tupate kujifunza.
Tusubiri labda wata wekwa maana nilisikia anakua mkubwa kama zile gari za mwendo kasi uki mlisha vizuri
 
Kuchi wanatumika zaidi kwa ajili ya kupigana
Na pia wana kazi maalum ambayo ni siri kubwa
 
Miaka kadhaa nyuma kuku aina ya Kuchi walipata jina sana. Bei yake ilipanda kweli kweli hadi ikafika tzs. 500'000/- kwa kuku mmoja.
Mlio bahatika kuwanunua hao kuku njooni mtupe feedback, hao kuku wenu Leo wana kilo ngapi?
mkuu shukrani kwa kuleta huu uzi kiukweli hizi bei za kuku kuchi, bata bukini , mzinga ,perkin , mallard and indian runner ziko juu maana ni tamaa za watu kutaka mbegu ila hakuna hata mmoja mwenye direct contact na mlaji wa mwisho ambaye atanunua bata kwa 200000 the akamchinje so as soon as watakapokuwa wengi mtaani na kila mtu kuwa nae bei yake itafika 30,000 to 50000
 
Kuku laki5[emoji849][emoji849][emoji849][emoji134][emoji134][emoji134]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…