Mlio-overspend jana, karibuni tena mtaani

Mlio-overspend jana, karibuni tena mtaani

Kwa wote mlio-kula bata mpaka mkamaliza akiba yote, vp mnaendeleaje. Hz sikukuu b na zitaendelea kuwepo zisikufanye uwehuke.
Ungekuwa karibu yangu ningekutia ngumi ya pua, nimerudi saa 8 usiku lakini nimeamka saa 11 mpaka sasa usingizi umekata nawaza shetani gani alinipitia nikatumia kiasi kile, huu uzi unakumbusha machungu tu, mods uondoeni hapa.
 
Back
Top Bottom