Mlio-overspend jana, karibuni tena mtaani

Sasa wewe uliejibana umefaidika na nini? Utakufa maskini wewe na bado mwaka mpya.
Wewe endelea kupost thread tu.
Mimi nawacheki tu vijana wanakunywa bia kama hawatakunywa tena
 
Kwa wote mlio-kula bata mpaka mkamaliza akiba yote, vp mnaendeleaje. Hz sikukuu b na zitaendelea kuwepo zisikufanye uwehuke.
Ungekuwa karibu yangu ningekutia ngumi ya pua, nimerudi saa 8 usiku lakini nimeamka saa 11 mpaka sasa usingizi umekata nawaza shetani gani alinipitia nikatumia kiasi kile, huu uzi unakumbusha machungu tu, mods uondoeni hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…