Mlio wa bodaboda wakati wa kujisaidia haja kubwa

Mapya Yaja

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2013
Posts
560
Reaction score
403
Ni kawaida kutoa sauti wakati wa kwenda haja kubwa, Ila naona kwangu nimekuwa too much maana nikienda haja kubwa natoa mlio kama wa pikipiki iliyochomolewa exhaust. Najisikia embarrassed hasa napohisi kuna mtu ananisikia ndo haja hupoteza kabisa.

Naomba ushauri wa kitabibu wa kuepuka tatizo hili.
 
Unasumbuliwa tumbo kujaa gesi waone ma doctor
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…