Mlioacha kazi za kuajiriwa na kujiajiri wenyewe nahitaji msaada wenu

Big point. Sanasa ili kuacha kazi na kujiajiri unapaswa kuwa sawa kiakili (ready mind set), Na kama unaona ni ngumu kwenye mind set yako ni vyema kuwa unasikiliza motivation mbalimbali kutoka youtube na sehemu nyingine, hii itakusaidia. Maana kuacha kazi, tena unakuta umeizoea ni ngumu sana.
 
Usiache wewe tafuta mfanya kazi akusaidiage tuu
Mfanyakazi yupi, halfu mnawachukulia wafanyakazi ni watu wanaofanya kitu kw kukurupuka hawafanyi utafiti, au haijawakuta ndo maana, watu wanafungua biashara za milioni 8 mpk 10 lkn hao wanaowaweka ndo wanaowafirisi. Biashara inapoanza inakuw na changamoto lkn changamoto hizo uzipate ww ili uwe na uchungu na biashara zko
 
Ukweli ni kwamba kuajiriwa ni utumwa na kunakuzeesha mapema sana mana maisha yako yote utaishi under stress mana kazi nyingi tunazofanya hazina ujira hata wa kutosha mahitaji ya kila siku nyumban kinachotufanya watu wengi wakae kwenye ajira ni woga wa kujitegemea ila ukweli kama vijana tujiajiri hata kwa kuuza mayai ila yawe yako

Utakuta mtu umeajiriwa kufanya sales ya products za mtu sasa km unaweza kuuza bizaa za mtu kwanni usitafute bizaa yako uiuze na ukapata faida au hasara ya kwako
Mfano utakuta mjini wale vijana wanatembea na mabeseni au dawa za meno wanauza sio zao ila wanawauzoa watu sasa kwann usinunue mabeseni hata mawili ukauze ila yawe yako
 
Je unahitaji kulima mahindi na hauna muda wa kusimamia? Au unataka upate mavuno mengi zaidi? Njoo ofisini kwetu.

Ofisi ya YAD yenye wataalamu wabobezi wa kilimo sasa inakuletea mpango wa kusimamia shughuli zote za shambani. Mkulima utatukabidhi shughuli zako pale shambani kwako sisi tutafanya kila kitu kwa utaalamu zaidi na kukukabidhi mazao yako yakiwa yamekomaa. Gharama zetu ni nafuu sana na tunakuhakikishia kwa ekari moja kuvuna mahindi zaidi ya gunia 30. Usihangaike sasa, sisi tupo kwa ajili yako, Kwa Wale ambao hawana mashamba tutakuwezesha kupata mashamba ya kukodi kwa elfu 40 tu na mashamba ya kununua kwa elfu 60 tu hata ukihitaji ekari 100 za kununua utazipata kwa bei hiyo hiyo.

Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu.
Jengo la NSSF SONGEA
Ghorofa ya 3 chumba no. 317
Simu. 0621133117
 
Tapeli mkubwa wewe, lima na uuze mwenyewe.
 
Mkuu habari za siku, nimatumaini yangu kuwa baada ya kupata ushauri mbalimbali kutoka kwa wanaJF kuna maamuzi uliyafanya na tayari utakuwa na jambo live la kufundisha wengine. Kwa ufupi nilitaka nipate feedback ya maamuzi yako na maendeleo yako kwa sasa.
 
JIAJIRI NGO NYINGI SIO PERMANENT , ANGALIA KIPATO KIKUBWA KINA KUJA WAPI NI KILIMO , BE BUSINESS MAN NOT EMPLOYED BOY
 
Huyu Jamaa anaweza kuwa Jah People [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Motivation speaker
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…