Ukaguzi ufanyika mara ngapi?Weeee ukaguzi lazima.....
Em kam zis wei tuimbe kale kawimbo
hakikisha unapiga menu ya kutosha, usije ukatuaibisha jopo la wakaguziMiadi tayari, hapa nawasiliana na agent wa bombadia tiketi ipatikane
Umetuquote mi na espyHivi unajua nafatilia mwandiko wako!
Kaanza kuchanganya madesa!!Umetuquote mi na espy
Namuona aseeKaanza kuchanganya madesa!!
Pouwaaa niambie pacha wa mie Nimekumiss seriouslyPacha mambo?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji134]Utaingizwa chaka na hako kamwanafunzi, sema mapenzi kameyajua mapema
Ha ha haaaWewe mama nitakuweka 'ignore list' sasa maanake sipumui....
Weee ile utangulizi ni mpaka usingizi.....Ehee hem utangulizi namii nijue mkuu
Nimemuweka ndani mtoto huyu. Mambo yake hatari sanaUpo na bint mpole relato?