Mliobadili ID....

Na wakaka pia watuambie wasijeanza kututega kututongoza mara ya pili. Tukiwakubali tena mara ya pili tusilaumiane
Kama ulikubali mwanzo haji tena akikosa ndo anakubadilishia swaga.
 
Mimi nimeamua kukomaa na nyie wenye ID za zamani..ila hizi mpya zinashawishi sana.πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
Kweli bhanaa ata mtu hujapanga akili inakaa sawa niaze ni sianze ha haaa
 
Mimi JF ndo kwanza nimeijua juzi... Nilidhani ni mambo ya siasa tu humu. Ila nna mpango wa kufungua account nyingine nije nilete bandiko Love connect

Ha haaa umeona sasa apo kwa red wengi hufanya hivyo sijawai pita huko na usifanye hivyo bhanaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…