Mliochaguliwa munanila sekondari

Idd hashim

Member
Joined
Jan 4, 2013
Posts
79
Reaction score
17
Jamani nimepangiwa munanila naombeni kama kuna kuna mwenzangu anifahamishe maana nipo moro munanila ni Kigoma
 
Ipo Kigoma wilaya mpya ya manyovu, karibu sana na ukifika utakuwa umekaribia Burundi


Hakuna wilay mpya inaitwa Manyovu kwa kigoma hii.
Japo mtoa mada amebagua wa kumsadia eti aliyepangiwa Munanila ngoja tujitembekeze,
Munanila iko sehemu moja kwa hapa Kigoma inayoitwa Manyovu. Ukifika kgm mjini unachukua gari la kwenda Manyovu kupitia rami ya Zitto ukifika tu unachua bodaboda kwenda shuleni sh 1500. That is all.
 
Kuna njia zifuatazo:1.Panda basi la kwenda Kigoma,ukifika Kasulu mjini shuka then ulizia stendi ya Manyovu.Panda magari ya kwenda Manyovu ushukie kituo cha mwisho(ambacho ni Munanila sokoni).Chukua boda boda ikupeleke Munanila sec.2.Panda treni hadi Kigoma mjini,then tafuta magari ya kwenda Manyovu.Utashuka Munanila sokoni,chukua boda boda hadi Munanila sec. Nauli:Treni Moro-KG ni kama 22000,Kigoma mjini-Manyovu buku 5 by taxi buku 3 by mini bus.Bus Moro-kasulu ni kama 55000,Kasulu-Manyovu buku 5 by taxi.
 
Munanila sec ni shule nzuri asee,ina laboratory ya ukweli na maktaba nzuri.Mazingira ya kiusomaji yanaridhisha kwa kweli.But sidhani kama ina walimu wa kutosha.Kwa mazingira yale,ukikomaa utafaulu vizuri sana.
 
Karibu sana kijana kwan hiyo ni shule yangu ya o level,kiukwel hongera kujipatia shule nzur kitaaluma!km vp ni PM COZ NIPO MUNANILA SEC KIOFIC
 
Aksanteni sana! Basi kama kuna mwenyeji wa huko naomba anitafute! Maana cna hata ndugu huko! Namba zangu ni 0655417670
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…