Majigo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 5,519
- 1,828
Salam za Upendo kwenu nyote .........Kutokana masaa 8 ninayotumia Nikiwa Chuo ...... Sasa Naona Mambo Yanakwenda Sivyo ...... Hasa Ktk kabiashara kangu kanakonifanya Nipate Pesa Za Kujikimu na Kuendesha Shughur Zangu za Masomo (ngazi ya Cheti) .... Nilzan nitaweza kusoma Na Kufanya 2biashara 2dogo2dogo.... lkn mda mwingne najikuta hata Hela Ya Kula Nakosa kabisa......Jaman nitumie Mbinu Gani Ili Niweze Kufanikiwa Kwa Mfumo Wangu huu Wa Maisha Ya biashara Na Masoma bila athari zozote?....Ushaur/pendekezo/maoni Toka Kwenu Ni Muhimu Sana..... nami Nitakubali kujipanga Upya!