ahsante Kwa Kunipa Moyo Ndugu Yangu...Mungu Akulipe Heri, Kwa Mda Wako Ulioutumia!Pole, pambana tu mjeshi. Watakuja kukusaidia. Mimi nilimaliza kusoma kila kitu ndo nikaingia mzigoni. pole na usikate tamaa yawezekan. Wapo waliofanya ivyo y nat ya?!
Uko Sahh Kabisa Kiongoz Wangu CHASHA Nami Nimegundua Kuwa Pamoja Na Yote Lakn Mda Ndio Tatizo Kubwa Sana,....... Niko Hapa Ili Kupata Mawazo Kwenu Na Hasa Wale Waliofanikiwa kujisimamia Kimasomo Na Huku Wakiwa Na Jambo Jingne Hasa Biashara.....Wali/Wanatumia Mbinu Gani Ambayo haikuwasumbua Ktk Kufikia LengoMkuu Mafanikio ni Mchako ni kama ilivyo michakato ya Chama Kuja kushika Dola, so mara nyigi vitu kama kusua sua huwa vipo sana na hata biashara kufa kabisa ila zote i hatua muhimu sana atika Maish ya Ujasirimali na kinacho takiwa ni kuendeea kupambana n kujlibu kucheki tatizo liko wapi na kutatua hilo tatizo, Biashara hiwezi kufa bila kuwa na tatizo, so ni vizuri ukacheki sababu kuu inayo pelekea kuwa hivyo
Uko Sahh Kabisa Kiongoz Wangu CHASHA Nami Nimegundua Kuwa Pamoja Na Yote Lakn Mda Ndio Tatizo Kubwa Sana,....... Niko Hapa Ili Kupata Mawazo Kwenu Na Hasa Wale Waliofanikiwa kujisimamia Kimasomo Na Huku Wakiwa Na Jambo Jingne Hasa Biashara.....Wali/Wanatumia Mbinu Gani Ambayo haikuwasumbua Ktk Kufikia Lengo
Salam za Upendo kwenu nyote .........Kutokana masaa 8 ninayotumia Nikiwa Chuo ...... Sasa Naona Mambo Yanakwenda Sivyo ...... Hasa Ktk kabiashara kangu kanakonifanya Nipate Pesa Za Kujikimu na Kuendesha Shughur Zangu za Masomo (ngazi ya Cheti) .... Nilzan nitaweza kusoma Na Kufanya 2biashara 2dogo2dogo.... lkn mda mwingne najikuta hata Hela Ya Kula Nakosa kabisa......Jaman nitumie Mbinu Gani Ili Niweze Kufanikiwa Kwa Mfumo Wangu huu Wa Maisha Ya biashara Na Masoma bila athari zozote?....Ushaur/pendekezo/maoni Toka Kwenu Ni Muhimu Sana..... nami Nitakubali kujipanga Upya!