Mliofanya interview ajira za utumishi, ni kweli hawataki vyeti vyenye majina matatu tu?

Mliofanya interview ajira za utumishi, ni kweli hawataki vyeti vyenye majina matatu tu?

Hypershulemia

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2021
Posts
275
Reaction score
841
Habari wana JF,

Hivi ni kweli utumishi wanataka cheti chenye majina matatu?

Na je sisi ambao vyeti vya taaluma vina Initial tu pale jina la kati kati inakuwaje?

Je, sisi wenye vyeti vya taaluma vyenye jina la kati kati Initial pekee inatakiwa tufanyaje?

IMG-20240904-WA0001.jpg
 
Mliofanya usaili njooni mtupe experience mliyokutana nayo huko
 
Habari wana JF,

Hivi ni kweli utumishi wanataka cheti chenye majina matatu ?

Na je sisi ambao vyeti vya taaluma vina Initial tu pale jina la kati kati inakuwaje?

Je, sisi wenye vyeti vya taaluma vyenye jina la kati kati Initial pekee inatakiwa tufanyaje ? View attachment 3087636
Hata mkikataliwa msiwe na hofu kwani niko mbioni kuanzisha na kufungua kiwanda kikubwa cha kuchakata miogo Mukuranga kitakachotoa ajira ya malaki.
 
Bado mkuu sijafikia hata hatua za kuanza kuomba kazi, nitaka tu kujua kama hilo suala ni kweli
Sio kweli kurasa ya Ajira Portal Utumishi wamekanusha hio haipo kila kitu kinaenda na mifumo sasa hivi kwa hio taarifa sio kweli km kwenye mfumo linasomeka majina mawili na Cheti kinasoma mawili ndio hivyo hivyo hakuna habari ya majina matatu, kwa hio huo ni upotoshaji sio kweli
 
Sio kweli kurasa ya Ajira Portal Utumishi wamekanusha hio haipo kila kitu kinaenda na mifumo sasa hivi kwa hio taarifa sio kweli km kwenye mfumo linasomeka majina mawili na Cheti kinasoma mawili ndio hivyo hivyo hakuna habari ya majina matatu, kwa hio huo ni upotoshaji sio kweli
Asante kwa ufafanuzi
 
Hata mkikataliwa msiwe na hofu kwani niko mbioni kuanzisha na kufungua kiwanda kikubwa cha kuchakata miogo Mukuranga kitakachotoa ajira ya malaki.
Dogo kuwa serious hapa jamvini.

Sio unamwaga porojo tu.

Sauwa Semenya?
 
Back
Top Bottom