Hypershulemia
JF-Expert Member
- May 19, 2021
- 275
- 841
Bado mkuu sijafikia hata hatua za kuanza kuomba kazi, nitaka tu kujua kama hilo suala ni kweliNaona kijana ume undergo hyposhulemia, unahitaji transfusion...
Shule imekukaukia naonaBado mkuu sijafikia hata hatua za kuanza kuomba kazi, nitaka tu kujua kama hilo suala ni kweli
Hata mkikataliwa msiwe na hofu kwani niko mbioni kuanzisha na kufungua kiwanda kikubwa cha kuchakata miogo Mukuranga kitakachotoa ajira ya malaki.Habari wana JF,
Hivi ni kweli utumishi wanataka cheti chenye majina matatu ?
Na je sisi ambao vyeti vya taaluma vina Initial tu pale jina la kati kati inakuwaje?
Je, sisi wenye vyeti vya taaluma vyenye jina la kati kati Initial pekee inatakiwa tufanyaje ? View attachment 3087636
Sio kweli kurasa ya Ajira Portal Utumishi wamekanusha hio haipo kila kitu kinaenda na mifumo sasa hivi kwa hio taarifa sio kweli km kwenye mfumo linasomeka majina mawili na Cheti kinasoma mawili ndio hivyo hivyo hakuna habari ya majina matatu, kwa hio huo ni upotoshaji sio kweliBado mkuu sijafikia hata hatua za kuanza kuomba kazi, nitaka tu kujua kama hilo suala ni kweli
Asante kwa ufafanuziSio kweli kurasa ya Ajira Portal Utumishi wamekanusha hio haipo kila kitu kinaenda na mifumo sasa hivi kwa hio taarifa sio kweli km kwenye mfumo linasomeka majina mawili na Cheti kinasoma mawili ndio hivyo hivyo hakuna habari ya majina matatu, kwa hio huo ni upotoshaji sio kweli
Dogo kuwa serious hapa jamvini.Hata mkikataliwa msiwe na hofu kwani niko mbioni kuanzisha na kufungua kiwanda kikubwa cha kuchakata miogo Mukuranga kitakachotoa ajira ya malaki.
ππShule imekukaukia naona
Sasa washindwaje kujua kati ya aitikien a nshomile, aitikien nshomile na aitikien anuary nshomile ni watu watatu tofauti?ππ
Nikutoe hofu mkuu, kichwani niko vizuri kitaaluma.
Hahaha. Ila dogo Semenya huwa unanichekeshaga sana. Hivi una miaka mingapi?Dogo kuwa serious hapa jamvini.
Sio unamwaga porojo tu.
Sauwa Semenya?
Nna miaka 18 semenya.Hahaha. Ila dogo Semenya huwa unanichekeshaga sana. Hivi una miaka mingapi?