Mliohamia CCM kuunga mkono juhudi kifupi mmeenda kuunga mkono yaliyompata Lissu, Azory na Saanane

Mliohamia CCM kuunga mkono juhudi kifupi mmeenda kuunga mkono yaliyompata Lissu, Azory na Saanane

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Ni Jambo lisilopingika kwamba kupotea na masahibu yaliyowapata hao watajwa hapo juu yana mafungamano ya moja kwa moja na utawala wa awamu ya tano.

Tunalazimika kuamini hivi kwasababu ya mazingira yaliyotokea kabla na baada ya madhila walioyapata na mbaya zaidi kwakuwa serikali haijatoa ushirikiano wowote katika shida za watu hawa.

Sasa hawa wanasiasa wanaohamia huko CCM wanataka tuamini wanaenda kuunga juhudi mkono zipi kama sio hizi za kina Lissu, Azory na Ben?
 
Kweli siasa za kimumiani aisee Yani kwa lipi eti niunge juhudi mkono kwani katiba imeharamisha upinzani?

Upinzani ni kitu halali kabisa Wala ukiwepo upinzani haimaanishi unatenda jinai ila acha wahamie huko ili watakapoanza kulana wenyewe cc tutakuwa tunagonga Cheers!!
 
Demokrasia ni chungu sana hasa kwa upinzani mchanga Kama wa Tanzania. Nakumbuka kipindi Lowassa anahamia upinzani, wapinzani walishangilia kila mahali na kusema demokrasia imekomaa sana lakini wao kuhamia upinzani wanabadili gia angani.

Siasa isiwe sababu ya kutuhumu pasipo ukweli. Umesema kupotea na madhira yanayowapata watu yana mafungamano na serikali, je unachosema una hakika? Una ushahidi usiotia shaka juu ya Hilo?
 
Kweli siasa za kimumiani aisee Yani kwa lipi eti niunge juhudi mkono kwani katiba imeharamisha upinzani?

Upinzani ni kitu halali kabisa Wala ukiwepo upinzani haimaanishi unatenda jinai ila acha wahamie huko ili watakapoanza kulana wenyewe cc tutakuwa tunagonga Cheers!!
Huo ni mtazamo wako kuwa huwezi kuunga mkono. Mtazamlo wa wenzako ni kuunga mkono. Tatizo ni nini?
 
Ni Jambo lisilopingika kwamba kupotea na masahibu yaliyowapata hao watajwa hapo juu yana mafungamano ya moja kwa moja na utawala wa awamu ya tano.

Tunalazimika kuamini hivi kwasababu ya mazingira yaliyotokea kabla na baada ya madhila walioyapata na mbaya zaidi kwakuwa serikali haijatoa ushirikiano wowote katika shida za watu hawa.

Sasa hawa wanasiasa wanaohamia huko CCM wanataka tuamini wanaenda kuunga juhudi mkono zipi kama sio hizi za kina Lissu, Azory na Ben?
Huo ndio ukweli
 
Ni Jambo lisilopingika kwamba kupotea na masahibu yaliyowapata hao watajwa hapo juu yana mafungamano ya moja kwa moja na utawala wa awamu ya tano.

Tunalazimika kuamini hivi kwasababu ya mazingira yaliyotokea kabla na baada ya madhila walioyapata na mbaya zaidi kwakuwa serikali haijatoa ushirikiano wowote katika shida za watu hawa.

Sasa hawa wanasiasa wanaohamia huko CCM wanataka tuamini wanaenda kuunga juhudi mkono zipi kama sio hizi za kina Lissu, Azory na Ben?
Io ni justification yako.
 
Mzee wangu kaniambia kwamba :Njaa ikihamia kichwani jalala utaliona ni sehemu safi ya kujipatia riziki :Ccm ni jalala linalonuka ufisadi na mizoga ya watu wasiyo na hatia (Ben saa 8) Acha walitumie jalala kujipatia riziki.
 
Kama hata hao wanaojiita viongozi wa imani wapo kimya, huenda Wanasiasa hao wamejiuliza 'kwani mimi ni nani?'

Kuna yule mmoja alithubutu kusema 'ukatubu' kilichomkuta wenzake wote walisimama pembeni wanamuangalia, kama Nyumbu wanavyomuangalia mwezao aliyekamatwa na Simba...hatimaye akanyoosha mikono juu baada ya kujiuliza 'kwani mimi nani?'.
 
Ubinafsi, njaa, uoga wa wahamaji na ushawishi,vitosho, hila ,njama, sifa,ulimbukeni,tamaa na ushamba watawala wachache ccm.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni Jambo lisilopingika kwamba kupotea na masahibu yaliyowapata hao watajwa hapo juu yana mafungamano ya moja kwa moja na utawala wa awamu ya tano.

Tunalazimika kuamini hivi kwasababu ya mazingira yaliyotokea kabla na baada ya madhila walioyapata na mbaya zaidi kwakuwa serikali haijatoa ushirikiano wowote katika shida za watu hawa.

Sasa hawa wanasiasa wanaohamia huko CCM wanataka tuamini wanaenda kuunga juhudi mkono zipi kama sio hizi za kina Lissu, Azory na Ben?
Siasa huku Africa ni ajira au kuna kingine
Watu wanatajirika unaona kabisa kupitia siasa.
Wewe shabiki ndio huelewi kuwa siasa ni ajira

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni Jambo lisilopingika kwamba kupotea na masahibu yaliyowapata hao watajwa hapo juu yana mafungamano ya moja kwa moja na utawala wa awamu ya tano.

Tunalazimika kuamini hivi kwasababu ya mazingira yaliyotokea kabla na baada ya madhila walioyapata na mbaya zaidi kwakuwa serikali haijatoa ushirikiano wowote katika shida za watu hawa.

Sasa hawa wanasiasa wanaohamia huko CCM wanataka tuamini wanaenda kuunga juhudi mkono zipi kama sio hizi za kina Lissu, Azory na Ben?
kakojoe ulale, uwezo wako wa kufikiri ni finyu sana! Yaani kwako kinachoweza kusababisha hao jamaa zetu wakafikwa na yaliyowafika ni serikali tuuu, hakuna kingine! Hawana maadui wao kwenye jamii! Au hata simba wala watu! Au hata kujitokomeza kusikojulikana, n.k! Hayo yote kwako hakuna ila serikali ya awamu ya 5 tuuuu! Kweli chuki binafsi na upiga dili haujawahi mwacha mtu salama! Tena kwa lisu, huyo ni kama msukule ni adui kwa taifa letu…ye aendelee kuishi kwa ndugu zake wazungu, na atuache na Tz yetu, na Magu wetu!
Tutaendelea kurudi nyumbani kumenoga, chini ya jemedari wetu Magu! Wenye wivu ng'wateni ulimi mumfuate ibirisi jehanamu!
 
Kumbe ndio maana kwenye akili zao wengi wameunga mkono kitendo cha Halima Mdee kukataa kupeana mkono na Mashinji?
Maana haiingi akilini MTU aliyekuwa mbunge na wengine wanashambuliwa, kufa na kupotezwa chini ya uongozi wako kama Katibu mkuu kisha unakwenda kuwaunga mkono walio tenda hayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
U
kakojoe ulale, uwezo wako wa kufikiri ni finyu sana! Yaani kwako kinachoweza kusababisha hao jamaa zetu wakafikwa na yaliyowafika ni serikali tuuu, hakuna kingine! Hawana maadui wao kwenye jamii! Au hata simba wala watu! Au hata kujitokomeza kusikojulikana, n.k! Hayo yote kwako hakuna ila serikali ya awamu ya 5 tuuuu! Kweli chuki binafsi na upiga dili haujawahi mwacha mtu salama! Tena kwa lisu, huyo ni kama msukule ni adui kwa taifa letu…ye aendelee kuishi kwa ndugu zake wazungu, na atuache na Tz yetu, na Magu wetu!
Tutaendelea kurudi nyumbani kumenoga, chini ya jemedari wetu Magu! Wenye wivu ng'wateni ulimi mumfuate ibirisi jehanamu!
Ukiulizwa kwa haki kabisa lisu amekukosea Nini wewe binafsi na amelikosea Nini taifa unaweza kuthibitisha? Ok kwa kauli zenu nyie ndio wapangaji wa mauwaji ya lisu hilo liko wazi uzuri ni kwamba mnawaponza wenye dhamana maana tayari mashtaka kwenye mahakama ya kimataifa yanaanza kunusanusa swali ni je kwanini mnadhani ilimpasa lisu kuitwa hayati au marehemu lisu Leo hii na Mungu akakataa mmeshawahi kujiuliza?
 
U
Ukiulizwa kwa haki kabisa lisu amekukosea Nini wewe binafsi na amelikosea Nini taifa unaweza kuthibitisha? Ok kwa kauli zenu nyie ndio wapangaji wa mauwaji ya lisu hilo liko wazi uzuri ni kwamba mnawaponza wenye dhamana maana tayari mashtaka kwenye mahakama ya kimataifa yanaanza kunusanusa swali ni je kwanini mnadhani ilimpasa lisu kuitwa hayati au marehemu lisu Leo hii na Mungu akakataa mmeshawahi kujiuliza?
Shida iliyopo ni kutumia moyo kufikiri badala ya akili! Mtazamo wako ndio anguko lako! Kama kila akifanyacho Lisu kabla na baada ya tukio la kupigwa na blankoo yote kwako hukuna kosa kwa nchi yetu Tz, then I rest my case!
 
Back
Top Bottom