Mliojenga naomba msaada wenu kwenye hii ramani ya JF

Mliojenga naomba msaada wenu kwenye hii ramani ya JF

NYOGELO

Member
Joined
Jul 11, 2022
Posts
27
Reaction score
50
Nimeipenda nyumba hii nikawaz nibadilishe iwe frem lakini huku madirisha ya mbele nayabadilisha kuwa mlango , jumla inakuwa na frem 3 . Buget yangu ya ujenzi mpaka kupaua bila finishing ni milion 5 na kila frem nataka iwe futi 20 kwa 10

Nitatumia fundi Maiko kujenga na kupaua ,eneo ipo nje kidogo ya Dar na barabara bado ni ya vumbi wakazi wengi wa hapa wanafanya mishe zao Dar na huduma zote kasoro za serekali wanapata Dar japokuwa ni pwani.

Naweka Duka la madawa kwenye frem moja na mimi ndio nitakuwa nauza , mm ni mtu wa medical , nilikuwa kwenye business ya mtu kwa miaka mitatu lakini mtoto wake alimaliza mwaka jana chuo na ameniambia nafasi yangu itachukuliwa na mwanae kwa hiyo kibarua mwisho mwezi wa nne.

Nimepiga mahesabu ya kukodi frem sio chini ya 200,000 - 250,000 hapo bado mazagaa kibao. Nimeona nijibane tu nijenge alafu nachagua frem moja nafanyia finishing mambo kwisha.
 
Nimeipenda nyumba hii nikawaz nibadilishe iwe frem lakini huku madirisha ya mbele nayabadilisha kuwa mlango , jumla inakuwa na frem 3.

Buget yangu ya ujenzi mpaka kupaua bila finishing ni milion 5 na kila frem nataka iwe futi 20 kwa 10

Nitatumia fundi Maiko kujenga na kupaua, eneo ipo nje kidogo ya Dar na barabara bado ni ya vumbi wakazi wengi wa hapa wanafanya mishe zao Dar na huduma zote kasoro za serekali wanapata Dar japokuwa ni pwani.

Naweka Duka la madawa kwenye frem moja na mimi ndio nitakuwa nauza, mimi ni mtu wa medical , nilikuwa kwenye business ya mtu kwa miaka mitatu lakini mtoto wake alimaliza mwaka jana chuo na ameniambia nafasi yangu itachukuliwa na mwanae kwa hiyo kibarua mwisho mwezi wa nne.

Nimepiga mahesabu ya kukodi frem sio chini ya 200,000 - 250,000 hapo bado mazagaa kibao .

Nimeona nijibane tu nijenge alafu nachagua frem moja nafanyia finishing mambo kwisha.

20230206_154906.jpg
 
Inawezekana na itapendeza sana mkuu kwa design hio, hapo katikati itapendeza ikawa fremu kubwa kidogo tofauti na izo mbili za pembeni.

Karibu nikurekebishie kama hutojali upate picha kamili ya frame zako kabla ya kwenda kujenga kuepuka makosa madogomadogo.(gharama yangu ni nafuu)
Mimi ni mtaalam wa majengo.
 
Inawezekana na itapendeza sana mkuu kwa design hio, hapo katikati itapendeza ikawa fremu kubwa kidogo tofauti na izo mbili za pembeni.

Karibu nikurekebishie kama hutojali upate picha kamili ya frame zako kabla ya kwenda kujenga kuepuka makosa madogomadogo.(gharama yangu ni nafuu)
Mimi ni mtaalam wa majengo.

Kwa vile ni mwana jamii mwenzetu mfanyie marekebisho kwa buku ten
 
Inawezekana na itapendeza sana mkuu kwa design hio, hapo katikati itapendeza ikawa fremu kubwa kidogo tofauti na izo mbili za pembeni.

Karibu nikurekebishie kama hutojali upate picha kamili ya frame zako kabla ya kwenda kujenga kuepuka makosa madogomadogo.(gharama yangu ni nafuu)
Mimi ni mtaalam wa majengo.
Sawa boss nakuja inbox
 
Back
Top Bottom