Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
Umeendaje bila research ? Umejikuta tu ? Kuwa mtu wa winger kupeleka wafanya biashara kwenye machimbo bei poa.....ndio deal kubwa Dubai kwa vijana.....ila uwe mwaminifu sana wizi utaoeli dubai mwiko....wapopo wapo kibao full adabuu
Unatafuta kazi dubai au unataka kujua watu wanaishi vipi?
Kama kazi kila kitu kipo wazi ni wewe tu na uwezo wako wa kuajirika.
Kuhusu kuishi zipo sehemu lukuki.
Tunabeba boksi airport...
Kaishi hostel Deira.
natafuta kazi ya kujiajiri
Unalipia kitanda tu unakuwa unaishi kama uko hostel. Room unakuta ni wakenya, wanyarwanda au watu wengine kutoka Afrika ila sikushauri ukae na wapopo.Mji wa kitalii umedesigniwa kwa ajili ya wageni kuspend, kutumia pesa.
Pia kwa ajili ya labour vibarua wa kujenga.
Swali je mnaoishi huu mji mnaishije ni mishe gani inaweza ikakuweka zaidi ya mwaka mmoja mji kama huuView attachment 2851063
Unalipia kitanda tu unakuwa unaishi kama uko hostel. Room unakuta ni wakenya, wanyarwanda au watu wengine kutoka Afrika ila sikushauri ukae na wapopo.
Ukae hotel wakati watafta kazi! Inabidi kuminimize cost. Usalama upo maana crime rate si kubwausalama hakuna!!
maana kukaa hotel nzuri unahitaj uwe na pesa
Mleta mada twambie nini unataka