GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mwambieni GENTAMYCINE nataka namba Tisa acheze Jean Baleke na namba Kumi acheze Mshambuliaji wangu ninayemkubali Simba SC yote Moses Phiri.
Na ole wake katika Dimba la Chini ( Namba Sita ) asimpange Kiungo wangu Mkabaji Bora na Fundi wa muda wote Fabrice Luamba GENTAMYCINE Ngoma.
Golini akianza na Kipa mpya Mwarabu Ayubu sawa japo kwa Uimara zaidi akiendelea Kumuamini Dogo Salim bado si mbaya.
Kwa Umuhimu wa Kuwakimbiza na Kuwachosha Wazambia asisahau pia kuanza na hawa Wachezaji wangu wa Kimkakati Kikosoni Muzamiru Yasini na Kibu Denis.
Wachezaji wa Simba SC waambiwe Ukweli kuwa leo tunataka Wapambane hasa huko Ndola Zambia vinginevyo Wakipoteza GENTAMYCINE nitapata Taabu sana hapa JamiiForums na watanivunja mno Moyo kwa Kuwatetea na Kuitetea kwa Gharama zote Brand na Image ya Timu yangu pendwa na iliyobarikiwa na Mwenyezi Mungu ya Simba Sports Club.
Mungu ibariki Simba Sports Club leo.
Na ole wake katika Dimba la Chini ( Namba Sita ) asimpange Kiungo wangu Mkabaji Bora na Fundi wa muda wote Fabrice Luamba GENTAMYCINE Ngoma.
Golini akianza na Kipa mpya Mwarabu Ayubu sawa japo kwa Uimara zaidi akiendelea Kumuamini Dogo Salim bado si mbaya.
Kwa Umuhimu wa Kuwakimbiza na Kuwachosha Wazambia asisahau pia kuanza na hawa Wachezaji wangu wa Kimkakati Kikosoni Muzamiru Yasini na Kibu Denis.
Wachezaji wa Simba SC waambiwe Ukweli kuwa leo tunataka Wapambane hasa huko Ndola Zambia vinginevyo Wakipoteza GENTAMYCINE nitapata Taabu sana hapa JamiiForums na watanivunja mno Moyo kwa Kuwatetea na Kuitetea kwa Gharama zote Brand na Image ya Timu yangu pendwa na iliyobarikiwa na Mwenyezi Mungu ya Simba Sports Club.
Mungu ibariki Simba Sports Club leo.