Lukaku Tanzania
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 843
- 740
Naombeni kujua Bei za maharage ngara
Naambiwa Bei poa sana je ni kweli?
Nmeambiwa 700/kg Ila hakusema maharage yapi madogo au makubwa alieko NGARA nahtaji msaada
Naambiwa Bei poa sana je ni kweli?
Nmeambiwa 700/kg Ila hakusema maharage yapi madogo au makubwa alieko NGARA nahtaji msaada