Mzee wa Code
Member
- Sep 23, 2024
- 61
- 91
Mbunge wa Geita Mjini Constantine Kanyasu amesimama Bungeni Leo ambapo amesema kuwa nchi imekosa vipaumbele ikiwe cha kuwalazimisha wanafunzi kusoma masomo ya wasiyotaka kwa hoja ya kupata mikopo ya serikali,
Kanyasu alienenda Mbali zaidi kwa kuongeza kuwa utoaji wa mikopo umekuwa na ukilitimba mkubwa wakati watanzania walipa kodi wazuri na mikopo imekuwa aitolewi kwa haki, nimekuwekea clip msikilize vizuri kumbe wabunge wa CCM wana akili ila wanajizima data kwa njaa za kuendelea kuwa wabunge.
Kanyasu alienenda Mbali zaidi kwa kuongeza kuwa utoaji wa mikopo umekuwa na ukilitimba mkubwa wakati watanzania walipa kodi wazuri na mikopo imekuwa aitolewi kwa haki, nimekuwekea clip msikilize vizuri kumbe wabunge wa CCM wana akili ila wanajizima data kwa njaa za kuendelea kuwa wabunge.