Hapa anatakiwa kuja Sam Love aje kusema boss wake kakimbia ama yupo!!!
. Baadhi ya magazeti yameandika katoroka.kama si kweli basi waandishi wa bongo ni tatizo.Mbona Gwajima yupo Kanisani Kwake hata kesho atafundisha maana leo amefundisha ,au gwajima wa JF ?
unamuongelea flora kama mtu wa kawaiiiida!Tuacheni ushabiki maandazi!, pamoja na matatizo ya ndoa, Flora bado ni mke halali wa Mbasha na kama ni kweli yuko katika hali hiyo, mhusika kihalali, kihaki na kisheria ni mumewe!.
Ikitokea kuna yeyote mwenye mashaka, hilo linabaki kuwa ni tatzo lao la ndani na watalimaliza kwa DNA mtoto atakapozaliwa!.
Tuacheni uzushi na tupunguze majungu!.
Pasco.
hata yesu wanasema alizaa na maria magdalena sasa cha ajabu nini mtume gwajima kumuweka mimba frola.hahahaha
hata yesu wanasema alizaa na maria magdalena sasa cha ajabu nini mtume gwajima kumuweka mimba frola.hahahaha
hata yesu wanasema alizaa na maria magdalena sasa cha ajabu nini mtume gwajima kumuweka mimba frola.hahahaha