unamuongelea flora kama mtu wa kawaiiiida!
PUBLIC FIGURE EVERYTHING GOES PUBLIC!!
Yes kwa mujibu wa sheria ya "the right to privacy!" ni kweli public figures everything ni public, kwa wale public figures ambao wako paid by public money!, "taxpayers". Hawa public figures ambao they make their own money, bado wanalindwa na "the right to privacy" kinachofanywa na magazeti ya udaku, mimi nayaita ya vichochoroni, ni ufukunyuku wa udaku tuu!.
Kitu kikubwa ninachokilinda ni kitu kinachoitwa "the marriage institution", taasisi ya ndoa, watu ambao wako kwenye ndoa, mke akipata ujauzito, ujauzito huo ni wa mumewe!, unless kama kuna mtu alimshikia mguu huyo jamaa wakati wa kuipachika!.
Kuifuatilia mimba ya mke wa mtu na kudai ni ya fulani, huku ni kuingilia over and above mambo binafsi ya mtu!.
Kwa kawaida mtu mwenye kujua kwa hakika mimba ni ya nani ni mwanamke!, zikifanywa compulsory DNA kwenye kila familia!, amini usiamini, kuna familia zitaparaganyika!. Naijua familia moja ina watoto 3, baada ya kukaa bila watoto kwa miaka kadhaa na mwanamke ndie akinyooshewa kidole kuwa ni tasa! na manyanyaso makubwa!, mwanamke kajipima yuko ok!, kilichofuatia, "alijaribisha nje" ikajipa!, alimfyatulia mumewe watoto watatu, wote vidume!, na wote walihesabika ni watoto wa mumewe! na ndoa ilidumu, manyanyaso yalikoma na waliishi raha mustarehe mpaka ...
Nilichoshauri ni watu humu kuacha uzushi na kupunguza majungu!.
Pasco