ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Kelele nyingi zimekuwa zikisambaa kwa ile hoja dhaifu eti Messi hawezi cheza pahala pengine zaidi ya timu yake toka utotoni FC Barcelona.
Taarifa latest zinasema mchawi huyu wa soka yupo mbioni kwenda kufanya vipimo huko Paris katika siku mbili tatu hizi.
Macho na masikio tuyaelekeze kwenye Ligue One pamoja na michuano ya Ulaya tushuhudie Messi akishindwa kucheza nje ya Spain.
Taarifa latest zinasema mchawi huyu wa soka yupo mbioni kwenda kufanya vipimo huko Paris katika siku mbili tatu hizi.
Macho na masikio tuyaelekeze kwenye Ligue One pamoja na michuano ya Ulaya tushuhudie Messi akishindwa kucheza nje ya Spain.