Mliokuwa mnamdhihaki beki wa Taifa stars the captain Bakari Nondo Mamunyeto mbona mmekaa kimya sana.

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Kuna kipindi Nondo Mamunyeto alipitia wakati mgumu (changamoto binafsi) zilizo mfanya kiwango kishuke.

Waliibuka wachambuzi (wa mchongo) wakishinikizwa na ushabiki maandazi wakaanza kumuita/kumfananisha na beki wa Man U (MAGURE) kutokana na makosa aliyokuwa akiyafanya.

Sasa hivi Bakari Nondo Mamunyeto ana kiwango Bora sana na wachambuzi wa Mchongo wamefumba Macho wanasubiri akosee.

NALIA NGWENA nachukua nafasi hii kumpa maua ya kutosha the captain Bakari Nondo Mamunyeto

Hakika ni beki wa mpira haswaa.
 
Kama Kibu Denga..wakati mwingine kusakamwa inasaidia..Nawapongeza utopolo kwa hatua nzuri mliyofika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…