mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Tafuteni hela, ni umasikini tu ulikuwa unawasonga
Bado private schools ni bora kuliko St Kayumba.
Hakuna mtu mwenye uwezo na anayejua maana na umuhimu wa elumu atabisha, mwaka huu kayumba wengi wana wastani wa C, D, na wachache B
Huku upande wa pili wastani wa B ni kama umefeli
Bado private schools ni bora kuliko St Kayumba.
Hakuna mtu mwenye uwezo na anayejua maana na umuhimu wa elumu atabisha, mwaka huu kayumba wengi wana wastani wa C, D, na wachache B
Huku upande wa pili wastani wa B ni kama umefeli