NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Dogo kachomoa kasema hana shida na masilahi (mshahara kuongezwa).
Wele wanaharakati mliokuwa nae bega kwa bega mlioshupaza mishipa ya shingo na kupiga kelele nyingi kuwa Feisal Salumu apewe pesa za kutosha Kama anavyolipwa Mayele ama Azizi kii.
NALIA NGWENA siwaoni Tena mmeyeyuka Kama barafu mmekimbia mlichokua mnakipigania maana bwana mdogo Hana shida na kuongezewa mshahara.
Nawasilisha hoja.
Wele wanaharakati mliokuwa nae bega kwa bega mlioshupaza mishipa ya shingo na kupiga kelele nyingi kuwa Feisal Salumu apewe pesa za kutosha Kama anavyolipwa Mayele ama Azizi kii.
NALIA NGWENA siwaoni Tena mmeyeyuka Kama barafu mmekimbia mlichokua mnakipigania maana bwana mdogo Hana shida na kuongezewa mshahara.
Nawasilisha hoja.