Kuwa Moro haimaanishi ni mluguru. Mbona wa Moro tupo kibao na sio waluguru/wapogoroTafuta album ya II PROUD ya miaka ya 90 albam inaitwa SIKU ndo utajua sio tu AFANDE kawai kupanda stejini ila kawai pia kuingia studio kabla ya hao waluguru wenu
Misufiniha haaa...kwani anakaa pande zp hapo moro?
kalagabaho=kaaga hivyo hivyo, ni neno la kiluguru, nimepatia mkuu?
Ahaahaaa nilimaanisha na ATV *abood tv*. Ngoja nibadilishe. Asanteee mweeeeMsaada tutani Homegirl
Radio Abood na Abood Fm ni vitu viwili tofati ?
Sallam kwa sasa ni meneja wa WCB.
Peter Moe ni DJ wa clouds fm.
Puzzo Makassy alikuwa Sweden .
Swedi kafulia.
Boy G kafa kwa gongo za kichangani.
Nash G anaangaika tu na dunia.
Squeezer kafulia.
Crazy P kwa sasa O Ten anauza chips mjini hapa.
John Dilinga anafanya biashara pia anapiga mziki kempisky kila weekend.
Wengine sikumbuki ila kiboko yao wote alikuwa Mc Ndolo marehemu aliyekufa kwa ngoma. Mnyawezi mipaka hivyo.
Mkuu umenikumbusha mc ndolo,dah kweli ardhi imekula vingi...damn boi g sakala sakala katika hii maswala..Rest of peace both of themSallam kwa sasa ni meneja wa WCB.
Peter Moe ni DJ wa clouds fm.
Puzzo Makassy alikuwa Sweden .
Swedi kafulia.
Boy G kafa kwa gongo za kichangani.
Nash G anaangaika tu na dunia.
Squeezer kafulia.
Crazy P kwa sasa O Ten anauza chips mjini hapa.
John Dilinga anafanya biashara pia anapiga mziki kempisky kila weekend.
Wengine sikumbuki ila kiboko yao wote alikuwa Mc Ndolo marehemu aliyekufa kwa ngoma. Mnyawezi mipaka hivyo.
Simjui afande wakati tumemsaidia sana kufanya promo nyimbo zao redioni na sugu??..any way usitake kunijua sana nipotezee tu..baki na kandeo wako!
!
!
Umetisha sana..... Enzi hizo nilikuwepo forest hill. Kuna bwana mmoja pia alikuwa anaitwa Perez kama sikosei huyu bwana konseti la mwisho kabisa ambalo na Mr. Two alikuwepo alikuwa kagombana na demu wake, basi yule demu alikuwa anatakiwa kuimba na alipopanda stejini aliimba unbreak my heart basi nakumbuka huyo bwana Perez alitoka nyuma akiwa na kaua anaenda mbele kumtunza demu wake na wakayajenga hapo hapo. [HASHTAG]#forest[/HASHTAG] ilikuwa ya kinyamwezi sana kipindi hucho
Mkuu umenikumbusha mc ndolo,dah kweli ardhi imekula vingi...damn boi g sakala sakala katika hii maswala..Rest of peace both of them
Unakumbukumbu nzuri sana. Perez Komanya wanyamwezi wa kitambo sasa hivi kwisha habari yake mambo ya kutegemea mali za mshua .
Ilo tukio nilikuwepo nikiwakilisha na machizi wangu wa BDP usikute wewe ni classmate basi tu jf inafukia mengi. Dah Sugu alikuja na gari yake anadrive mwenyewe Sugu alikuwa star sana bhana.
Ndolo ananyoa panki lake lina ngazi ngazi kama fresh prince moro ilikuwa na wanyamwezi sana.
Ndolo classmate wangu Bungo Primary alikuwa smart anajipenda sana nakumbuka miondoko yake mambo ya totozi alianza mapema sana si ajabu kufa kwa ngoma.Ndolo ananyoa panki lake lina ngazi ngazi kama fresh prince moro ilikuwa na wanyamwezi sana.
umsaidia kufanya promo ya wimbo upi? Nikianguka? Afande anasema?
Wacha nikupotezee tu maana hapa watu wamezungumzia era ambayo ata Fm ilikuwa moja na haikuanza kupiga bongofleva. Afande wakati huo hakuna anaemjua si kwenye concerts wala tushikamane studio.
Ndolo classmate wangu Bungo Primary alikuwa smart anajipenda sana nakumbuka miondoko yake mambo ya totozi alianza mapema sana si ajabu kufa kwa ngoma.
Mkuu umenikumbusha mc ndolo,dah kweli ardhi imekula vingi...damn boi g sakala sakala katika hii maswala..Rest of peace both of them
Sallam kwa sasa ni meneja wa WCB.
Peter Moe ni DJ wa clouds fm.
Puzzo Makassy alikuwa Sweden .
Swedi kafulia.
Boy G kafa kwa gongo za kichangani.
Nash G anaangaika tu na dunia.
Squeezer kafulia.
Crazy P kwa sasa O Ten anauza chips mjini hapa.
John Dilinga anafanya biashara pia anapiga mziki kempisky kila weekend.
Wengine sikumbuki ila kiboko yao wote alikuwa Mc Ndolo marehemu aliyekufa kwa ngoma. Mnyawezi mipaka hivyo.
Tatizo unasoma vitu kwenye magazeti sisi tunakupa habari exclusive. Wewe umjui Afande, umjui Kandeo umjui Mabukila. Ujui history ya muziki wa moro.
Nash G alikuaga anatangaza redio abood na abood tv. Saiv nadhani yupo clouds tv kama sijachanganya madesa
Yani alikuwa bishoo wa nguvu enzi za raba mtoni tulikuwa tunamkoma shule mi nilikuwa Nakaa hapo magorofani we kweli wa Morogoro.!
!
Alikuwa anakaa hapa karibu na magorofani. Alikuwa bishoo kwelikweli mnyamwezi yule
aiseeeh....mitaa ya misufini jirani zao manzese, mafiga pale shule na watoto wa vibandani, kutumia mjani kule kawaida, niliwahi kuja moro maeneo ya manzese ni uswazi aiseeh, kabali nje nje. kumbe ndiyo maana afande yupo vileMisufini