Mliomshambulia January Makamba njooni mumpongeze baada ya hali ya umeme kutengemaa

Hivi hiyo namba ya simu unayotuwekea hapo ina maana gani ?
 
Hongera zake,
Mwambie asikie na vilio vya wafanyakazi wake kwa maana;
.No training for staffs
.No staff upgrading after school
.Annual local leave without payments
.Warehouses have shortage of materials
.Aged vehicles
.More deduction of staffs while mostly of its operations need more people.
Amebeba zigo kubwa sema anacheka na nyani mno asije vuna alichopanda (ingawa ni ngumu kwa seat aliyokalia).
 
Umeme vijijin??? kuna nguzo tu mwaka wa pili huu na hakun dalili ya watu kuunganishiwa umeme, acha kwanza wauze majenereta
 
Hapana ndugu yangu Mimi siongelei habari za Urais Maana Rais wetu Ni mmoja ambaye Ni Dr Samia mpaka 2030 ndio tutaangalia Nani atatufaa Kuendeleza kazi ya kutukuka ya mh Rais wetu mpendwa mama Samia
Samia unaweza kuandika ata mara 3 ndani ya sentence moja, una content lakini una motive behind kubali kataa, watu kama nyie kwa mwenye akili kubwa ata mwenyekiti wa mtaa huwezi kupewa coz huwezi kushauri ukweli ata kama utaujua, kwa Africa ogopa sana anaekusifu kila saa
 
Ni mtizamo wako tu
 
Hivi hiyo namba ya simu unayotuwekea hapo ina maana gani ?
Karibu mwana nyanda za juu kusini,changia hoja tu maana hoja Ni nyingi kuliko hata eneo ambalo namba imejaa,pia Tuendelee kumsapoti Dr Tulia maana ndio chaguo la Wana Mbeya,so unaona miradi na maendeleo yaliyopatikana baada ya kuchaguliwa kwake
 
Kwanini nimpongeze??wakati ni jukumu lake kuhakikisha umeme unakuwepo wakati wote.
 
Kakojoe ulale [emoji849][emoji849]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…