Mliomuona 'Mkwere Original' akilia ITV kwa Msiba wa Mzee 'Matata' mniambie je, alikuwa akilia kweli au ameigiza tu?

Mliomuona 'Mkwere Original' akilia ITV kwa Msiba wa Mzee 'Matata' mniambie je, alikuwa akilia kweli au ameigiza tu?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mkwere Original tunaomjua na Kumuangalia mara kwa mara hata nje ya Kuigiza na kukutana nae mara kadhaa huko Mitaa ya Kwake Mbezi ya Bonyokwa Yeye kila Kitu tu hukifanyia ' Komedi ' na ni lazima utacheka mno.

Nimetoka kuona Kipande cha Taarifa ya Habari ITV muda si mrefu akihojiwa Kuhusiana na huu Msiba wa Mwenzao ' Kikundini ' Mzee Matata na Kumuona ' Akilia ' kwa ' Hisia ' kama ambavyo hata katika ' Komedi ' zake nyingi amekuwa akifanya hivyo.

Je, hiki Kilio chake alichoonekana nacho ITV ni cha Ukweli au ni muendelezo wake tu wa kupenda kufanya ' Komedi ' Matukio yake mbalimbali? Na wala nisifiche binafsi GENTAMYCINE nilivyomuona Akilia badala ya Mimi pia Kuungana nae katika Majonzi nikajikuta navunjika tu Mbavu zangu kwa Kucheka.
 
haya tushajua popoma unakaa dar na mkwere mnaonana nae mtaani c ajabu anakugongea mkeo pia
 
Back
Top Bottom