Wana bodi.
Ni siku kadhaa jpm alisema anataka kupitia upya mapato ya mitandao ya simu. vodacom iko kwenye soko la hisa na watu wanaendelea kununua hisa tena kwa kuhamasishwa na serikali.
Nawatahadharisha huyu anayewambia mnunue hisa na siku akimfanyia uchunguzi ikagundulika huwa analiibia taifa mtajuta kwa maamuzi yenu.
Nawapa tahadhari. Mjitathimini kama mnaweza kuendelea na hisa zenu.