Mliooa au kuolewa na Wanyarwanda tupeni experience

Nitakuja kuleta experience yangu pia soma maoni ya wadau hapa Nataka kuoa Mnyarwanda
 
Mkuu hebu nipe taarifa zaidi maana natafute mke pengine nitaenda huko yaani are you joking or what? you mean their you know what when doing you know what releases huge amount of that liquid??? mkuu nielimise pls, natanguliza shukrani
Mwenyezi Mungu, anaumba watu aisee!
 

Kabisa i have experience na watusi wa pande zote mbili.. wa nyarwanda wana gubu ni rahs kukasirika na kulalamika.. wa burundi waelewa sana hata ukimkosea ni muelewa...

Hata kuongea ingawa ni lugha moja yaani kinyarwanda na kirundi wanatofautiana maneno machache ila kikubwa tone zao.. warundi wanaongea slow na hawashaut ila wanyarwanda wanapenda sana kuongea kwa volume kubwa au wanaongea kwa kukazia na kushaut.. kwa bongo chukulia anavyoonge msukuma au muhaya ile
tone ndio wanavyoongea wanyarwanda

Kwa warundi chukulia mtu wa kigoma anavyoongea ndo anaongea ndo tone yao
 


Sio Wanyarwanda ni Warwanda.

Kwani kwanini Watanzania nao wasiitwe Wanyatanzania??--- kwani kuna mtu anaweza kunya Tz?? , ni hivyohivyo hakuna mtu anaweza kunya Rwanda, isitoshe ni tusi pia.
 
Wewe mwalimu mzuri sana
 
Sio Wanyarwanda ni Warwanda.

Kwani kwanini Watanzania nao wasiitwe Wanyatanzania??--- kwani kuna mtu anaweza kunya Tz?? , ni hivyohivyo hakuna mtu anaweza kunya Rwanda, isitoshe ni tusi pia.



hahahahahaha... ila kaka ndo wanavyojiita au wanavyoitwa ww tatizo unaweka kiswahili sabifu kwenye majina ya watu..

ila Wanyarwanda ni sasa kabisa.. hata wao alijitambulisha kikwao utasikia mnyarwanda..

ni kama useme Uganda wasiitwe Waganda au Mganda waitwe M-Uganda... au Wa _Uganda.. vyote sawa kutegemea na Lugha yako.. utachagua unatohoa vipi
 
maji,
hawapend shida,
wavivu,
dharau
ubinafs
ubaguzi
ukabila,
bifu na visas ,
mapenz nje ya penzi au mapenz/ndoa mkakat,
sura nzuri,
hips bila tako,
matumbo manne,
mguu wa bia,
ushamba asilia,
ndugu kupeana uroda,
kisimi kirefu na labia za kusokota.
 
Mkuu hebu nipe taarifa zaidi maana natafute mke pengine nitaenda huko yaani are you joking or what? you mean their you know what when doing you know what releases huge amount of that liquid??? mkuu nielimise pls, natanguliza shukrani

Taratibu we jamaa, hujatusomesha ujue!
 
Aisee nasikia ukipata hela wanakuua afu wanachukua mali wanaenda kuolewa na watusi wenzao
Hapo nasikia kigoma mwanaume kachinjwa na bimdogo akishilikiana na mchepuko wake
Atakua mtusi huyo au mrundi
Yes. Na lazima wawe na mwanamke huko kwao. Na kuzalishana juu. Na ni wahamishaji wazuri tu wa mali na watoto. Wahuni sana pia. Ni mmoja mmoja sana waaminifu na full of visasi. Wakatili sana
 
Umesummerise vzr sana. Umemaliza kila.kitu. kiufupi siyo watu wa kujihusisha nao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…