BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,527
- 3,811
IdeaKuwa nazo za Monday-Friday ukifika zote Saturday unsanitary nje kwenye jua. Nunua mbili tatu za ziada kama mvua zinanyesha.
Sisi tukiwa safarini to the moon inabidi tufue kila siku.
Kwani mpaka dk hii unaandika hiv unaanika wap ww?Kuna maswali mengine huonekana ni ya kijinga lakini yana maana.
Kwa wadau ambao mmeoa na nyumba unayoishi sio master bedroom, nyumba nzima mnatumia choo kimoja hivi boxer zenu huwa mnaanika wapi?
Hapa mjini tuvyumba tudogo, ukisema uanike tu chumbani chumba kitakuwa kinanuka harufu ya uvundo na ukianika bafuni naona noma wageni wakija au beki tatu anaona boxer zangu... hahaaha
Mnaanika wapi boxer zenu?
kwa hiyo saturday na sunday asivaeKuwa nazo za Monday-Friday unafua zote Saturday unazianika nje kwenye jua. Nunua mbili tatu za ziada kama mvua zinanyesha.
Sisi tukiwa safarini to the moon inabidi tufue kila siku.
Za week nzima ukifua na kuanika kambani itakua kama mtumbani sasa [emoji23]Kuwa nazo za Monday-Friday unafua zote Saturday unazianika nje kwenye jua. Nunua mbili tatu za ziada kama mvua zinanyesha.
Sisi tukiwa safarini to the moon inabidi tufue kila siku.
Ishi maisha yako mkuu usiishi kwa kuwa watanifikiriajeZa week nzima ukifua na kuanika kambani itakua kama mtumbani sasa [emoji23]
Mm kila nikifua nabandika kambani kwan nan hatumiiIshi maisha yako mkuu usiishi kwa kuwa watanifikiriaje
Swali zuri sanaaaKwani mpaka dk hii unaandika hiv unaanika wap ww?