Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Mkuu ni kauka "nikuvae" [emoji28] [emoji28] [emoji28]Mama Mkwe akizikuta haitapendeza, au ukitembelewa na wageni wa heshima itakuaje.
Bora nianike chumbani to,tatizo lenu boxer mnazo 1 lazima mzianike juani "kauka nikuzae".
inategemea na umri wako na hadhi yako. Hiwezi kuwa na watoto wakubwa, umbo kama letu hilii ukaanika boxer tu hivi hivi! lazima uwe na staha kidogo hata mkwe wako asione!Kufunika kwa kanga labda za wanawake ,boxer hazina shida kuanikwa tu wazi maana nikama bukta au kaptula ndogo .Kwani vikaptula vya watoto wa kiume miaka miwli hadi minne mnaanika wapi? Naona vipo sawa tu na boxer
HahahahahaaaaaaaaaaHeeeeh!!! unavaa g.strings au??
Nguo za ndani zinapaswa kuanikwa nje zikauke vzr ili kuepusha magonjwa kama fangasi na UTI. Ni mila potofu tu ndizo zinawafanya mshindwe kuanika nje na aibu za hovyo hovyo. Mm najianikia nje kwenye kambaKuna maswali mengine huonekana ni ya kijinga lakini yana maana.
Kwa wadau ambao mmeoa na nyumba unayoishi sio master bedroom, nyumba nzima mnatumia choo kimoja hivi boxer zenu huwa mnaanika wapi?
Hapa mjini tuvyumba tudogo, ukisema uanike tu chumbani chumba kitakuwa kinanuka harufu ya uvundo na ukianika bafuni naona noma wageni wakija au beki tatu anaona boxer zangu... hahaaha
Mnaanika wapi boxer zenu?
Ebu nisaidie huyo ni demu?Yaani. Nimekuona mdogo wangu nikajikuta nashutuka [emoji12] .
Kulikoni mdogo wangu ulifichwa, nilifichwa au tulijificha?
Its coast fully,Kuwa nazo za Monday-Friday unafua zote Saturday unazianika nje kwenye jua. Nunua mbili tatu za ziada kama mvua zinanyesha.
Sisi tukiwa safarini to the moon inabidi tufue kila siku.
Siku hizo mbili jamani muwe mnashinda nyumbani mumuache babu jinga apumzike kukunjwakwa hiyo saturday na sunday asivae
NdioEbu nisaidie huyo ni demu?
Mbona huwa zinauzwa hadharani!?Ndio maana zinaitwa nguo za ndani maana yake siri sasa unapozianika nje ili watu wajue rangi za nguo zako ili weje mfano wengine wanawake michupi mikubwa kama ile ya ndondo cup unaanzaje kuianika nje tafuta sehemu nzuri ndani anika nguo zako unazifua cku moja zikikauka piga pasi weka kwenye kabati
Wakati unanunua ulizikuta zimefunikwa!?Anika nje funika na khanga nyepesi ya mkeo,.
Ndo uwaulize wanaume wenzio walio oa,.mm sianiki chup** zangu ndani hata kwa dawa gani.....huo ni kama ushauri nimewapa kwa wanaume wanao ona aibu kuanika boxer zao nje,..Wakati unanunua ulizikuta zimefunikwa!?