Mlioolewa....


Huyo mkoloni babu atakuwa ni HE
 
waliolewa na wasoolewa bado hawajui ndoa ni nini!! nafikiri DC na MJ1 anagalau wanamwanga na wanachoongelea
 
Nyamayao, unaongelea hao wanaume wa Kiafrica hapo au???

Ikunda....nawaongelea hawa hawa wetu, inategemeana na malezi, msukuma wangu kuingia jikoni na kupika wakati ni kitu cha kawaida, kumuogesha kijana wake ni kitu cha kawaida....ndiyo malezi aliyokulia....lakini kwa mtu kama Asprin hili haliwezekani.
 
Ikunda....nawaongelea hawa hawa wetu, inategemeana na malezi, msukuma wangu kuingia jikoni na kupika wakati ni kitu cha kawaida, kumuogesha kijana wake ni kitu cha kawaida....ndiyo malezi aliyokulia....lakini kwa mtu kama Asprin hili haliwezekani.

hongera zako sana, hii midume yetu katika 10 unaweza usiambulie hata mmoja anaemsaidia mwenzake kazi za home.
 
hongera zako sana, hii midume yetu katika 10 unaweza usiambulie hata mmoja anaemsaidia mwenzake kazi za home.

unahitaji maombezi.... hujui unachiktafuta kwa mweza wako...dunia ya kusaidiana ndo tulipo asa iv... labda mtu awe kichwa ngumu tu....Jiange upya!!!
 
hongera zako sana, hii midume yetu katika 10 unaweza usiambulie hata mmoja anaemsaidia mwenzake kazi za home.

I just don't know who are you implying at? But i guess it might be your dude
 

hapo kwenye red pamenigusa sana, huo ni unyanyasaji wa wasichana wa kazi................. hupaswi kumfanyia hivyo hata kama unamlipa mamilioni.
 
Ikunda....nawaongelea hawa hawa wetu, inategemeana na malezi, msukuma wangu kuingia jikoni na kupika wakati ni kitu cha kawaida, kumuogesha kijana wake ni kitu cha kawaida....ndiyo malezi aliyokulia....lakini kwa mtu kama Asprin hili haliwezekani.

Jamani haya mambo ya kusaidiana siku hizi wala hayahitaji malezi wala nini. Hali halisi inatulazimisha kufanya hayo. Hebu fikiria mna watoto 2-3, house girl au hata kwa msaada wa mama watawaandaa peke yao halafu muwahi foleni za Dar? Na wakati labda wanawaandaa, baba utakuwa unafanya nini? It doesn't make sense. Lazima utajikuta unaingia kibaruani tu.

Hata hivyo siungi mkono udhalilishaji alioufanya huyo mwanamume kwa mkewe eti anamlinganisha mkewa na H/girl. Kwani hadi hali inafikia hapo yeye alikuwa wapi wasiyaongelee? Labda kama na lake jambo.
 
hapo kwenye red pamenigusa sana, huo ni unyanyasaji wa wasichana wa kazi................. hupaswi kumfanyia hivyo hata kama unamlipa mamilioni.

FP kwani hizo taulo baba hawezi kuzifua? Halafu kwani ipo moja tu kwamba msipofua siku hiyo mnakwama? Kama ni hivyo mnaweza kuamua kutumia disposable materials.
 

Ukishaona mtu analalamika uchovu mara busy mara sijisikii jua hata maongezi hayatafika popote. Sana sana baada ya maongezi atanuna na kukupiga vikwazo vya shughuli pevu. Ladies are very unpredictable creatures.
 
hapo kwenye red pamenigusa sana, huo ni unyanyasaji wa wasichana wa kazi................. hupaswi kumfanyia hivyo hata kama unamlipa mamilioni.


kuna vitu vinackitisha sana, mambo kama hayo yanatakiwa yaishie room jamani, unampaje mtoto wa mwenzio kitu kama hicho akisafishe?...
 
FP kwani hizo taulo baba hawezi kuzifua? Halafu kwani ipo moja tu kwamba msipofua siku hiyo mnakwama? Kama ni hivyo mnaweza kuamua kutumia disposable materials.

si ndo mi ninaposhangaa hapo, mpaka wamfulishe mtoto wa mwenzao? inakera sana......................
Ila DC mi sikubaliani na disposables ila zamu ya kufua inalipa
 
kuna vitu vinackitisha sana, mambo kama hayo yanatakiwa yaishie room jamani, unampaje mtoto wa mwenzio kitu kama hicho akisafishe?...

Yaani mimi sipati picha Nyamayao, hivi yale mavitu ni ya kumpa mtoto afue? hata kama HG tayari anayajua hayo mambo, siyo vizuri kumfulisha
 
si ndo mi ninaposhangaa hapo, mpaka wamfulishe mtoto wa mwenzao? inakera sana......................
Ila DC mi sikubaliani na disposables ila zamu ya kufua inalipa

kwangu mie cpendi zamu, kama ana nafac hata kila cku na afue, ki ujumla ckumbuki mwisho nimevifua lini coz yeye akiamka tu anavyo.
 
Yaani mimi sipati picha Nyamayao, hivi yale mavitu ni ya kumpa mtoto afue? hata kama HG tayari anayajua hayo mambo, siyo vizuri kumfulisha

haipendezi/sio ubinadamu hata kidogo, awe anajua hajui hayo ya chumbani mwenu myafanye wenyewe.
 
Ikunda....nawaongelea hawa hawa wetu, inategemeana na malezi, msukuma wangu kuingia jikoni na kupika wakati ni kitu cha kawaida, kumuogesha kijana wake ni kitu cha kawaida....ndiyo malezi aliyokulia....lakini kwa mtu kama Asprin hili haliwezekani.

tena kama watoto wangu muda wa kuoga ukifika na wanaona dad yupo vituko vinaanza, utasikia "nataka dad aniogeshe" sasa hapo mzee mzima inakuwa imekula kwake, lazima aogeshe mtoto kama anataka kupumzika kwa amani
 
kwangu mie cpendi zamu, kama ana nafac hata kila cku na afue, ki ujumla ckumbuki mwisho nimevifua lini coz yeye akiamka tu anavyo.

ha haaaaaaaaaaaaaaa. umenikumbusa kitu............. hapa nahisi kila siku kazi ya kutandika kitanda inakuwa yako, maana kama wa kwanza kuamka anatoka na vingine, na wa mwisho kuamka anatandika kitanda................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…