kwenye tovuti yao bado hawajaweka mkeka wa walioitwa kwenye usaili. Hapa inabidi kuendelea kufuatiliaNaomba ufafanuzi wa huu ujumbe
USAILI HUU UTAFANYIKA KATIKA MKOA AMBAO MSAILIWA ALIOMBEA NAFASI ZA KAZI (KWA TAARIFA ZAIDI TEMBELEA TOVUTI YA SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA)
Ok ngoja tujipe mdakwenye tovuti yao bado hawajaweka mkeka wa walioitwa kwenye usaili. Hapa inabidi kuendelea kufuatilia
Nadhani Oral ndo itafanyika kwenye mkoa uliombea,ila written mahali ulipo.Naomba ufafanuzi wa huu ujumbe
USAILI HUU UTAFANYIKA KATIKA MKOA AMBAO MSAILIWA ALIOMBEA NAFASI ZA KAZI (KWA TAARIFA ZAIDI TEMBELEA TOVUTI YA SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA)
Shukran mkuuNadhani Oral ndo itafanyika kwenye mkoa uliombea,ila written mahali ulipo.