Mliopangiwa kazi Serikalini kupitia Mchakato wa 'Database' ya Utumishi, njooni mtoe Experience yenu

Mliopangiwa kazi Serikalini kupitia Mchakato wa 'Database' ya Utumishi, njooni mtoe Experience yenu

Just Distinctions

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2016
Posts
3,230
Reaction score
6,742
Habari za wakati huu, suala la kusaka ajira za serikali haijawahi kuwa jambo rahisi kwa wale ambao hawana kazi hata wale ambao wapo kwenye private ila wanataka kuingia serikalini kwa ajili ya security na vitu kama hivyo.
Uchache wa nafasi hufanya wengi wafunge safari hivyo hivyo kwenda Dodoma kujitoa mhanga kwa sababu ukipita Oral hata ukikosa nafasi uliyoomba unawekwa kwenye Database.

Kwa ambao mmewahi kwenda kwenye usaili wa utumishi lakini hamkufanikiwa kwenye nafasi mlizoomba mkaja kupata baadae kupitia Database, njooni mtoe experience yenu jinsi ilivyokuwa na mchakato wenu wa usaili kwa ujumla uliopelekea kuwekwa kwenye database, na pia baada ya kupangiwa, je ulipangiwa kwenye ile ile nafasi kama uliyoifanyia usaili au hata related field ?
 
Unaweza usipangiwe nafasi hiyo ila kada inayoenda na kozi yako Mfano

Mtu wa BBA (Anaweza kuwa Afisa Utawala,Afisa Biashara,Afisa Leseni,Afisa Usajili,Afisa Undeshaji,Afisa Usalama wa Viwanja vya ndege na mengineyo)

So kanzi data itaangalia wapi pana upungufu wa kada ipi na wapi aliewekwa kwenye kanzi data anafit na si kwasababu ulifanya Labda interview ya Afisa mambo ya nnje kwa BBA utegemee utapelekwa kwa kada hiyo hiyo wataangalia nini mahitaji na miundo pia ya Ofisi Fulani


Nadhani nimejaribu kwa uelewa wangu
 
Unaweza usipangiwe nafasi hiyo ila kada inayoenda na kozi yako Mfano

Mtu wa BBA (Anaweza kuwa Afisa Utawala,Afisa Biashara,Afisa Leseni,Afisa Usajili,Afisa Undeshaji,Afisa Usalama wa Viwanja vya ndege na mengineyo)

So kanzi data itaangalia wapi pana upungufu wa kada ipi na wapi aliewekwa kwenye kanzi data anafit na si kwasababu ulifanya Labda interview ya Afisa mambo ya nnje kwa BBA utegemee utapelekwa kwa kada hiyo hiyo wataangalia nini mahitaji na miundo pia ya Ofisi Fulani


Nadhani nimejaribu kwa uelewa wangu
Shukrani kwa ufafanuzi
 
Back
Top Bottom