Mliopo chuoni/masomoni hivi morali ya kusoma kwa bidii mnapataje?

Mliopo chuoni/masomoni hivi morali ya kusoma kwa bidii mnapataje?

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Nijuavyo mimi ili mtu akazanie kitu flani lazima awe motivated, kwamba baada ya hard work kuna reward (matunda),

Tunafahamu lengo la kusoma ni kuelimika, lakini kwa mazingira ya Tanzania kusoma ni fursa ya kujikwamua kiuchumi (majority wapo hapa).

Nauliza mliopo chuoni mnapataje morali ya kusoma? Kipi hasa kinawatia hamasa mkazanie masomo licha ya changamoto mnazopitia kama vile kukosa pesa ya kujikimu n.k?

Natamani kufahamu
 
Ajira inafanya watu wakaze wakitegemea mambo mbele yatajiset 😄😄😄
Yaani mtu akimaliza ajira hii apa tra salary 2.5 mil
 
Matumaini makubwa ya kupata ajira punde tu baada ya kuhitimu
 
Nijuavyo mimi ili mtu akazanie kitu flani lazima awe motivated, kwamba baada ya hard work kuna reward (matunda),

Tunafahamu lengo la kusoma ni kuelimika, lakini kwa mazingira ya Tanzania kusoma ni fursa ya kujikwamua kiuchumi (majority wapo hapa).

Nauliza mliopo chuoni mnapataje morali ya kusoma? Kipi hasa kinawatia hamasa mkazanie masomo licha ya changamoto mnazopitia kama vile kukosa pesa ya kujikimu n.k?

Natamani kufahamu

 
Nijuavyo mimi ili mtu akazanie kitu flani lazima awe motivated, kwamba baada ya hard work kuna reward (matunda),

Tunafahamu lengo la kusoma ni kuelimika, lakini kwa mazingira ya Tanzania kusoma ni fursa ya kujikwamua kiuchumi (majority wapo hapa).

Nauliza mliopo chuoni mnapataje morali ya kusoma? Kipi hasa kinawatia hamasa mkazanie masomo licha ya changamoto mnazopitia kama vile kukosa pesa ya kujikimu n.k?

Natamani kufahamu
Maisha yanawafanya wakomae
 
Nijuavyo mimi ili mtu akazanie kitu flani lazima awe motivated, kwamba baada ya hard work kuna reward (matunda),

Tunafahamu lengo la kusoma ni kuelimika, lakini kwa mazingira ya Tanzania kusoma ni fursa ya kujikwamua kiuchumi (majority wapo hapa).

Nauliza mliopo chuoni mnapataje morali ya kusoma? Kipi hasa kinawatia hamasa mkazanie masomo licha ya changamoto mnazopitia kama vile kukosa pesa ya kujikimu n.k?

Natamani kufahamu
Umaskini wa nyumbani ndio morali
 
16320807298218266565975009154722.jpg
 
Back
Top Bottom