mliopo USA, swali

GT lugha yako tu mimi hoi...haya mkulu. Hii picha imeniasha...nimeamini niko fit!
 
Mkuu hapa ukiwa na kitu kama hiki lazima uwe na AK 47.
 

Picha ya mwisho kabisa inaonyesha msokoto wa bangi, hivi ni lazima upige huo msokoto ndiyo uweze kufanya mambo sawa sawa?

Kaaaaaaaaaaaaaaaaaazi kweli kweli!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Picha ya mwisho kabisa inaonyesha msokoto wa bangi, hivi ni lazima upige huo msokoto ndiyo uweze kufanya mambo sawa sawa?

Kaaaaaaaaaaaaaaaaaazi kweli kweli!!!!!!!!!!!!!!!!

Ah wapi! Hii si bhangi ni sigar
 
Picha ya mwisho kabisa inaonyesha msokoto wa bangi, hivi ni lazima upige huo msokoto ndiyo uweze kufanya mambo sawa sawa?

Kaaaaaaaaaaaaaaaaaazi kweli kweli!!!!!!!!!!!!!!!!

Ahhh wapiiii
mimi huwa nakodisha majeshi haya:



lakini hizo side effects zake noma tupu

mambo ya kuvuta bangi yamepitwa na wakati
 
Picha ya mwisho kabisa inaonyesha msokoto wa bangi, hivi ni lazima upige huo msokoto ndiyo uweze kufanya mambo sawa sawa?

Kaaaaaaaaaaaaaaaaaazi kweli kweli!!!!!!!!!!!!!!!!

Wewe uliyesema hiyo ni bangi inabidi uchekiwe macho....
Hiyo ni Cigar.
 




Uzuri wa mke tabia wowowo majaliwa.
 
GT,
Sisi kama hawa huku Sikonge tunawapata kila siku na unachotakiwa kuwa nacho ni mbio tu maana CHAGULAGA ikishaanza, wewe ni U-BOLT wako. Ukishamdagaka unamwambia tu CHAGUA BEGA. Ila hii tumeikodisha hivi karibuni kutoka kwa Wachaga. Tofauti ya wa kwetu na Wachaga ni moja Ukimshika msalani HAKULABUI.
 
Heheh ATL totoz nyingi tuu...kwanza ukienda uswahilini totoz za kumwaga nzuri kuliko ata Beyonce na Alicia Keys...ukiwa na 1972 Chevy Impala SS sitting on 22s unabeba kizigo bila gharama.

Duh...hivi watu bado wanaweka 22s kwenye magari yao? that is so 2000ish.....
 
Duh...hivi watu bado wanaweka 22s kwenye magari yao? that is so 2000ish.....

The most you can go kwenye chevies ni 26s....sema kukata kona mitaa ya The Dec inakuwa balaa...!!!
 

GT,

mwenzio naishia kunawa tu...kula sili.

ATL tutatembelea baada ya inauguration 'kulisha macho'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…